Kuwa makini na kauli yako hapo kwenye red!
Unatoa mapofu tu!
mtoto wa kike au wa kiume?
Hiyo risasi imepenyaje huko?
Chadema hawagombei huko?
Ninachouliza ni hiki: Hivi CUF ni chama cha upinzani cha ukweli? Tuone jinsi watakavyo-react katika hili. Just imagine ingekuwa ni vijana wa CDM ndiyo wamemshambulia huyo mwandishi.
CDM jamani wako visiwani sasa!
Kapigwa na nani? Ni policcm tena nn? Na kwani mwafaka unaishia wapi?
Hapa ni pasafi na tusikie kauli ya huyu Tendwa sasa!
Chadema hawagombei huko?
Tendwa na atoe kauli ya kukifuta chama cha mapinduzi sasa