The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,870
Jamani nipo curious kujua huyu mwandishi wa gazeti la raiamwema anaejiita msomajraia.
Ni nani?
Na kwa nini gazeti hilo limemruhusu kuandika makala bila kufahamika jina lake kamili na uzoefu wake wa kisiasa kufahamika...
Nafikiri kuna kitu kimejificha nyuma ya huyu mwandishi
Anayemjua amtaje tafadhali
Ni nani?
Na kwa nini gazeti hilo limemruhusu kuandika makala bila kufahamika jina lake kamili na uzoefu wake wa kisiasa kufahamika...
Nafikiri kuna kitu kimejificha nyuma ya huyu mwandishi
Anayemjua amtaje tafadhali