Mwandishi Mayage S. Mayage umepotoka hatudanganyiki

Mayage ni changudoa wa maadili anayefukuzia madili hasa Lowassa kama mashoga zake akina Balile na Manyerere. They are wasting their times. Go to hell Mayage.
 
Ombwe dhahiri, mbadala wa CCM ni chama kipya

Mayage S. Mayage
MAKALA zangu mbili katika matoleo mawili yaliyopita ya gazeti hili zimeniunganisha kwa karibu katika pembe tatu; kwa maana ya mimi binafsi, wanachama na wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) pamoja na mtendaji wa mkuu chama hicho, Dk. Wilbroad Slaa.

Hata hivyo, katika muunganisho huo, wengi na hasa wapenzi wa CHADEMA, hawakufurahishwa na ujumbe mfupi (sms) niliotumiwa na Dk. Slaa, akiponda ushauri wangu kwa chama hicho wa kujikita zaidi katika kufanya siasa badala ya kutumia muda mwingi kuendesha uanaharakati wa maandamano, nikijenga hoja kwamba 2015 si mbali, wabunge wa CHADEMA wanatakiwa kuja na programu za maendeleo kwa wananchi wa majimbo yao ili yasije yakakikuta yaliyokikuta chama cha
NCCR-Mageuzi mwaka 2000.


Kwa kuwa wasomaji wangu wengi, katika kunipa pole kuhusu ujumbe huo wa Dk. Slaa wakiniomba nisikate tamaa kuendelea kutoa ushauri kwa chama hicho
kipenzi cha Watanzania wamejaribu pia kuwasiliana moja kwa moja na Dk. Slaa ili kujiridhisha kama kweli ujumbe ule ni wake, na kama kweli ule ndio mtazamo na majibu yake kwa ushauri wangu ule kwa chama chake, niwashukuru nyote mlioguswa kwa ujumla wenu na yote masuala hayo mawili na kufanya mawasiliano nami.


Hata hivyo, kabla ya kuanza mada yangu ya leo, niwaombe miongoni mwenu nyote mlioguswa na makala zote mbili zile, na lakini pia mkaguswa na ujumbe mfupi wa Dk. Slaa kwangu, niteue ujumbe mfupi (sms) wa msomaji mmoja, ambaye kwa kumfahamu kwangu naamini ni bado mtu mwenye fikra na maoni huru ambayo hayajaathiriwa na itikadi za siasa za vyama vyetu.

Msomaji wangu huyo, Absalom Kibanda, ambaye ni Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya Freemedia, baada ya kupitia makala zangu zote mbili na pia kusoma mrejesho wa Dk. Slaa kwangu kwa makala ya wiki ile ya nyuma, alinitumia ujumbe huu: "Kaka umefanya kazi kubwa. Katika hili, nadhani Dk. Slaa alihamaki bila sababu kwa kuwa hata kama ulichokiandika kilimkera kwa sababu zozote zile, iwe ni kwa upotoshaji au kupingana na mwenendo wa CHADEMA, bado alipaswa kuonyesha ustahimilivu na ukomavu wa kisiasa (0754 001010).


Baada ya utangulizi huo, niwaombe wasomaji wangu tuendelee na mada ya leo. Makala hii ya leo nimeiandika nikisukumwa na msomaji wangu mmoja katika makala ya wiki iliyopita. Msomaji huyo, baada ya kuyapitia maandishi yangu, alinitumia ujumbe ufuatao:- "Habari ndugu mayage! Naitwa Deo Makilika, nipo safarini kuelekea IR (Iringa). Katika makala yako ndani ya Raia Mwema ya Nov 30-Dec 6, pg 22, inaonyesha umeanza ku-
lose mwelekeo, hivi inawezekanaje kukosa chama mbadala cha kusimamia uzalendo katika nchi yenye wazalendo wengi?

Huu ni upotoshaji mkubwa, nashauri uwe unafanya utafiti wa kina kuliko kuandika kwa hisia au jumla jumla, utakuwa mwandishi mzuri sana. Kila la kheri! (0719 935250).


Katika makala yangu ya wiki iliyopita, iliyokuwa na kichwa cha habari kisemacho: Sababu tunayo, tuwang'oe 2015, niliandika kwa kutoa ushauri kwa Watanzania wenzangu kuungana kwa pamoja ili kuuondoa na kuutupa baharini mfumo mzima wa utawala uliopo kwa sasa, kwa kuwa taasisi zake zote, katika matukio mawili tu ya sakata la Richmond na lile la aliyekuwa Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini, David Jairo, zimeonyesha zinausimamia na kuulinda kwa ustadi mkubwa mfumo wa rushwa na ufisadi uliotamalaki nchini.


Katika hilo, nilitoa ushauri kwa wazalendo wenye uchungu wa kweli wa namna utajiri na rasilimali za nchi hii zinavyotafunwa kifisadi, kuanzisha chama cha siasa makini sasa, si kusubiri kesho na Watanzania wakiunge mkono kwa nguvu zote, ili mwaka 2015 tuondokane na mfumo huu wa kulindana
baada ya kamati teule mbili za Bunge letu, zilizochunguza suala la Richmond na Jairo kutufumbua macho juu ya hali halisi inayofanywa na watendaji wetu serikalini.

Hilo la kuwataka wazalendo wa kweli kuanzisha chama cha siasa makini cha kutuongoza Watanzania kuung'oa mfumo wa sasa
, ndilo lililomuudhi msomaji wangu Deo Makilika, anayeamini nimeanza ku-lose (kupoteza) mwelekeo na nimefanya upotoshaji mkubwa kwa ushauri wangu wa kuanzishwa chama mbadala cha kusimamia uzalendo na hivyo kuhoji; "hivi inawezekanaje kukosa chama mbadala cha kusimamia uzalendo katika nchi yenye wazalendo wengi?"

Naomba nimhakikishie ndugu yangu Deo na wasomaji wangu kwa ujumla wao kwamba sijaanza kupoteza mwelekeo. Kama Deo anaujua vizuri mwelekeo wangu, basi naomba aamini kwamba uko pale pale, haujatikiswa. Hata hivyo, napenda kumhakikishia kwa uwazi kabisa na bila shaka yoyote ndugu Deo kwamba kwa
Mtanzania yeyote anayefuatilia siasa za nchi hii, hahitaji kufanya utafiti wowote ili kujua kuwa hadi sasa ninapoandika makala hii na inaposomwa na wasomaji wangu, ndani ya nchi hii, hatuna chama chochote mbadala cha kusimamia uzalendo huo tunaouhitaji Watanzania baada ya miaka mingi ya kunyonywa, kudhulumiwa na kuteswa na baadhi ya Watanzania wenzetu wachache waliokosa uzalendo kwa nchi yao kupitia mikataba mibovu ya umeme, madini na mingine mingi.


Najua wasomaji wangu watanishangaa kwa tamko langu hili la kusema hadi sasa hatuna chama cha siasa chochote ambacho ni mbadala wa CCM 2015 ili kituongoze katika kutupeleka kule ndoto yetu sote inakotuelekeza twende. Hadi sasa, tunavyo vyama 17 vya upinzani vyenye usajili wa kudumu.
Baadhi ya vyama hivyo hata wanaoviongoza hawajulikani. Vyama hivyo ni pamoja na CHADEMA, CUF, TLP, NCCR-Mageuzi, UDP, NLD, NRA, TADEA, UPDP, MAKINI, FORD, CHAUSTA, DP, Jahazi Asilia, PPT-Maendeleo, SAU na UMD.


Nawaomba Watanzania tutoke nje ya ofisi au nyumba zetu kwenda kwa wananchi wenzetu tuwaulize vyama hivyo vinasimamia itikadi na sera gain? Tuwaulize ni chama gani kimeisimamia kwa ustadi hoja yake ya kuwakomboa Watanzania kutoka mikononi mwa madhila ya CCM kwa maendeleo ya nchi na watu wake kwa kauli na vitendo vinavyofanana na jinsi viongozi wao walivyo na wanavyoishi.


Najua wasomaji wangu hao watakaonishangaa, katika orodha hiyo ya vyama 17 vya upinzani watanishangaa kwa sababu imani yao iko katika CHADEMA na wanajua na kuamini kuwa ndicho chama mbadala kitakachokomesha ufisadi na mafisadi katika nchi hii na hivyo, kutufikisha kwenye Tanzania tunayoitaka.


Binafsi bado sijashawishika na chama hicho
, na hasa baada ya kushindwa kusimamia hoja moja tu ya posho ya vikao kwa wabunge na watendaji serikalini, hoja ambayo kinasema imo ndani ya sera zake.

Ndugu zangu, katika mwelekeo na upepo unaoikumba dunia ya sasa, mabadiliko ya uongozi wa chama cha siasa ndani ya nchi yetu ni lazima. Tena basi, mabadiliko hayo yamerahisishwa na watawala wetu wa sasa pamoja na makada wa chama chao tawala kwa sasa.
Ndiyo maana mara zote napoteza nguvu zangu kukishauri CHADEMA ambacho Watanzania wanaelekea kukiamini kuwa ni mbadala wa CCM, kitoke kwenye uanaharakati na kuingia kwenye siasa zinazotia matumaini na zenye lengo la kukamata dola na usimamizi thabiti wa vyombo vya dola kwa misingi ya kidola, na hivyo kuwaongoza wananchi kwa kuonyesha njia.


Ndani ya CHADEMA wapo wanasiasa wazuri tu, wanaofanya siasa kweli, lakini hao hawana sauti wala nafasi ya kukielekeza chama hicho ni ipi njia sahihi ya kufanya siasa. Wenye sauti na ushawishi (
influence) ndani ya chama hicho ni wanaharakati hali inayokifanya chama hicho kuendeshwa kiharakati kwa asilimia 80 na asilimia 20 inayobaki ndiyo inayofanya shughuli za kisiasa.

Narudia tena kusema, fursa hii iliyopo kwa sasa ni tunu ya pekee kwa CHADEMA. Kimeingia Jimbo la Igunga kwa mara ya kwanza na ndani ya siku 28 tu, kimekubalika kwa zaidi ya asilimia 40
. Hiyo tu ya Igunga, ilitosha kuwaelekeza viongozi wa CHADEMA ni dira gani ya kufuata ili mwelekeo huo wa wananchi wa Igunga uwe mwelekeo wa nchi nzima kuelekea 2015.
Badala yake, wanapoteza muda kulumbana kuhusu umeya wa Manispaa ya Arusha, kana kwamba bila umeya huo hakitakuwa na hadhi ya kisiasa. Wanapoteza muda wao kuzungumzia muswada na sheria mpya ya mabadiliko ya Katiba Mpya kana kwamba muswada na sheria hiyo ikiandikwa kwa utashi wao ndiyo itakayopiga kura mwaka 2015 na kukipeleka Ikulu.

Serikali na Rais wake, Jakaya Kikwete pamoja na chama chake, wamekubali kilio cha muda mrefu cha Watanzania kuwa na Katiba Mpya ya nchi. Binafsi, nilitaraji baadhi ya watu wetu weledi wa masuala ya Katiba, baadhi ya wanasiasa na hasa wa CHADEMA, wangekitumia kipindi hiki cha kuelekea uandishi wa Katiba Mpya, katika kufanya utafiti na udadisi wa ni Katiba ipi bora katika nchi za dunia hii, ili iwe mfano wa Katiba mpya tunayoitaka katika mazingira ya kijiogorafia, kisiasa, kijamii na kiuchumi kwa Taifa letu.


Ndugu zangu, katika mazingira haya ya sasa ambayo Watanzania wamekata tamaa na kuishiwa kabisa matumaini ya kuendelea kutawaliwa na CCM, CHADEMA kinaonekana kuwa mbadala kwa kuwa katika udhaifu wa vyama vyote vya siasa vilivyopo, kinaonekana kuwa na unafuu wa udhaifu kuliko vingine. Lakini hiyo haitufanyi tusahau msemo wa kwamba hata katika msafara wa ndege aina ya bundi, lazima apatikane bundi wa kuwaongoza wenzao waliomo katika msafara huo.


Kwa upepo wa mabadiliko unaovuma duniani kwa sasa, na ambao Watanzania hatuna njia yoyote ile ya kuukwepa tukiwa chini ya utawala huu wa CCM ya aina ya sasa, inayoshindwa kuchukua hatua stahiki kwa mafisadi wanaoifisadi nchi yetu na kuendekeza urafiki na uswahiba katika masuala ya msingi ya uongozi wa nchi na yanayogusa uhai na uchumi wa Taifa letu, upepo huo unaweza kabisa kutusukumia mikononi mwa hata shetani au chama cha ovyo ili mradi tu kutimiza dhamira na nia yetu ya mabadiliko hayo.


Vyama vya siasa vya kambi ya upinzani tulivyonavyo, vipo na vilianzishwa kwa sababu ya fursa ya kikatiba. Vingi ya hivyo, vinafanya siasa za kubabaisha ili vionekane vipo kwa sababu vilisajiliwa kama vyama vya siasa. Hata viongozi wao wengi ni watu ambao huko nyuma walishindwa kuishi katika masharti na misingi ya uzalendo na utaifa enzi za chama kimoja na kujikuta wakitupwa nje ya mfumo, na hivyo walianzisha vyama vya siasa watakavyotumia kama jukwaa la kuwasema mahasimu wao hao wa zamani.


Nihitimishe makala yangu hii kwa kusema tunahitaji kuwa na chama cha siasa kitakachoanzishwa na kundi la watu linalochukizwa na mwenendo wa utawala wa chama kilichoko madarakani leo, ambao hautoi matumaini ya kuwaondolea Watanzania maadui wakuu watatu waliotangazwa miaka 50 iliyopita; ujinga, maradhi na umasikini.


Tunahitaji kuwa na chama cha siasa, kitakachoanzishwa na kundi la watu wenye uzalendo wa kweli kwa taifa lao, wanaoamini kwamba ardhi ya kutosha tunayo, siasa safi ambayo imeendelea kusimamia misingi ya amani na utulivu iliyowekwa na waasisi wa taifa letu tunayo, isipokuwa tumeshindwa kufika katika safari yetu kwa sababu tu tumekosa uongozi bora. Kwa hiyo, kuanzia sasa, tunahitaji kuwa na uongozi bora wa nchi, unaotokana na chama kipya bora cha siasa, kitakachoanzishwa na watu wenye dhamira hiyo katika nafsi zao.


Tulivyonavyo sasa, havina tufauti na NGO's tunazozijua. Ni vyama vya kutafuta fedha za ruzuku ndani na nje ya nchi, ili walau familia za wanaoviongoza ziishi maisha yanayofanana na familia za watawala wetu.


Ndiyo maana waliomo ndani ya vyama hivyo, wakikosa tu fursa ya ulaji, hukimbilia kuisaka fursa hiyo ndani ya vyama vingine ili tu wafanikishe ulaji. Nitakuwa mtu wa mwisho kuamini kuwa wanasiasa aina ya Magale John Shibuda wanaweza kukubali kukifia chama chao cha sasa pindi ubunge utakapowaponyoka. Naomba kuwasilisha!



Ujinga wa Mayage
  1. Mayage anakiri kuwa CHADEMA ni kipenzi cha watanzania halafu anasema binafsi yeye hakijamshawishi kuwa mbadala wa CCM. Kama kimeweza kuwa kipenzi cha watanzania waliowengi inawezekana hakijamshawishi yeye kutokana na upeo wake ndio maana mnaweza kuwa darasa moja mmoja anapata zero na mwingine division one uwezo wake wakuelewa mambo hawezi kutushawishi watanzania wengi waliowapenzi wa CHADEMA kama alivyokiri mwenyewe.
  2. Mayage anasema CHADEMA hakijamshawishi na wala si mbadala halafu bado anapoteza muda kukishauri huu si ujinga mwingine. Halafu anasema tena hii ni fursa pekee kwa CHADEMA kwa vipi wakati ameshauri kianzishwe chama kingine.
  3. Aliponiacho hoi zaidi ni hapo ni kuhusu Katiba, kwa maneno yake anasema, Binafsi, nilitaraji baadhi ya watu wetu weledi wa masuala ya Katiba, baadhi ya wanasiasa na hasa wa CHADEMA, wangekitumia kipindi hiki cha kuelekea uandishi wa Katiba Mpya, katika kufanya utafiti na udadisi wa ni Katiba ipi bora katika nchi za dunia hii, ili iwe mfano wa Katiba mpya tunayoitaka katika mazingira ya kijiogorafia, kisiasa, kijamii na kiuchumi kwa Taifa letu.Unafanya utafiti wa nini halafu uupelekewapi wakati hakuna mfumo mzuri wa kupokea tafiti zako.

Anayebisha abishe lakini huyu bwana anamtumikia

Nawasilisha hoja
 
Nionavyo mimi,naungana na msomaji waliyesema kuwa bro kaanza kupoteza mwelekeo,inashangaza sana mtu anaejiita mwandishi mahili akasema kuwa haihitaji utafiti kujua kuwa CHADEMA si chama mbadala,hili ni tamko la kijumla lenye motive behind,mwandishi yeyote makini hata kama anaona kwa fikra zake jambo lilivyo,bado anahitajika kufanya utafiti ili KUPIMA USAHIHI WA MTAZAMO wake na hali halisi ya matokeo ya utafiti ndipo aseme kwenye public,no research no right to say ndo maana hata Dr. Slaa alimjibu hivyo,binafsi nadobt pia weledi wake na taaluma yake kwani angekuwa makini utafiti ndo ungekuwa msingi wake wa kusema.
Pia hicho Chama mbadala cha kuanzishwa hajasema kiwe na falsafa na mtazamo gani na kwa utafiti angetupa japo some characters ambao tunao anaodhani kuwa wataweza kuhold hicho anachokiamini yeye
Haingii akilini ukasema chama ni kipenzi cha Watanzania halafu unasema sio mbadala hii ni myopic sensing,kwani kimependwaje kama hakionekani mbadala?Hii ni sawa na kusema mwalimu huyu hafai kabisa halafu ukasema amenifundisha nikafaulu vizuri.
Kwa ujumla wake makala yake ina motive ya kisiasa na kimaslahi nyuma yake,mwandishi anajaribu kujenga hoja kijanja lakini kwa ndani unagundua anatetea nini!
Serikali na Rais wake, Jakaya Kikwete pamoja na chama chake, wamekubali kilio cha muda mrefu cha Watanzania kuwa na Katiba Mpya ya nchi. Binafsi, nilitaraji baadhi ya watu wetu weledi wa masuala ya Katiba, baadhi ya wanasiasa na hasa wa CHADEMA, wangekitumia kipindi hiki cha kuelekea uandishi wa Katiba Mpya, katika kufanya utafiti na udadisi wa ni Katiba ipi bora katika nchi za dunia hii, ili iwe mfano wa Katiba mpya tunayoitaka katika mazingira ya kijiogorafia, kisiasa, kijamii na kiuchumi kwa Taifa letu.
Hapo kwenye RED anaposema kuwa RAIS na CHAMA chake wamekubali kilio cha watanzania kuhusu katiba mpya!hapa kuna ukakasi wa hoja yake.
Nimkumbushe tu mwenzetu huyu kuwa Waziri Kombani, Mwanasheria Mkuu Werema walikanusha hadharani kuwa hakuna mpango wa katiba mpya. Kama ingekuwa kilio kimesikika kwanini wapishane kauli na Rais na M/Kiti wa Chama hicho hicho?Je kweli kwamba Serikali ya JK na chama chake walikubali kilio cha watz?
Hapa ndo penye hoja kwamba mwandishi alikuwa na motive behind ambayo kaidhihirisha(anatetea CCM).
Tuna safari ndefu sana mpaka kupata waandishi wa habari wenye kuzingatia misingi na weledi wa taaluma zao.
(Sisemi hawapo kabisa la!)Wengi tulio nao husahau misingi na weledi na kuangalia zaidi maslahi na ushabiki
kelele za huyu kanunuliwa na yule zisingekuwepo kama waandishi wetu wangezingatia misingi ya taaluma zao ambayo ndani yake utafiti ni jambo la msingi kabla ya kupeleka habari kwenye jamii.





Ombwe dhahiri, mbadala wa CCM ni chama kipya

Mayage S. Mayage
MAKALA zangu mbili katika matoleo mawili yaliyopita ya gazeti hili zimeniunganisha kwa karibu katika pembe tatu; kwa maana ya mimi binafsi, wanachama na wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) pamoja na mtendaji wa mkuu chama hicho, Dk. Wilbroad Slaa.

Hata hivyo, katika muunganisho huo, wengi na hasa wapenzi wa CHADEMA, hawakufurahishwa na ujumbe mfupi (sms) niliotumiwa na Dk. Slaa, akiponda ushauri wangu kwa chama hicho wa kujikita zaidi katika kufanya siasa badala ya kutumia muda mwingi kuendesha uanaharakati wa maandamano, nikijenga hoja kwamba 2015 si mbali, wabunge wa CHADEMA wanatakiwa kuja na programu za maendeleo kwa wananchi wa majimbo yao ili yasije yakakikuta yaliyokikuta chama cha
NCCR-Mageuzi mwaka 2000.


Kwa kuwa wasomaji wangu wengi, katika kunipa pole kuhusu ujumbe huo wa Dk. Slaa wakiniomba nisikate tamaa kuendelea kutoa ushauri kwa chama hicho
kipenzi cha Watanzania wamejaribu pia kuwasiliana moja kwa moja na Dk. Slaa ili kujiridhisha kama kweli ujumbe ule ni wake, na kama kweli ule ndio mtazamo na majibu yake kwa ushauri wangu ule kwa chama chake, niwashukuru nyote mlioguswa kwa ujumla wenu na yote masuala hayo mawili na kufanya mawasiliano nami.


Hata hivyo, kabla ya kuanza mada yangu ya leo, niwaombe miongoni mwenu nyote mlioguswa na makala zote mbili zile, na lakini pia mkaguswa na ujumbe mfupi wa Dk. Slaa kwangu, niteue ujumbe mfupi (sms) wa msomaji mmoja, ambaye kwa kumfahamu kwangu naamini ni bado mtu mwenye fikra na maoni huru ambayo hayajaathiriwa na itikadi za siasa za vyama vyetu.

Msomaji wangu huyo, Absalom Kibanda, ambaye ni Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya Freemedia, baada ya kupitia makala zangu zote mbili na pia kusoma mrejesho wa Dk. Slaa kwangu kwa makala ya wiki ile ya nyuma, alinitumia ujumbe huu: “Kaka umefanya kazi kubwa. Katika hili, nadhani Dk. Slaa alihamaki bila sababu kwa kuwa hata kama ulichokiandika kilimkera kwa sababu zozote zile, iwe ni kwa upotoshaji au kupingana na mwenendo wa CHADEMA, bado alipaswa kuonyesha ustahimilivu na ukomavu wa kisiasa (0754 001010).


Baada ya utangulizi huo, niwaombe wasomaji wangu tuendelee na mada ya leo. Makala hii ya leo nimeiandika nikisukumwa na msomaji wangu mmoja katika makala ya wiki iliyopita. Msomaji huyo, baada ya kuyapitia maandishi yangu, alinitumia ujumbe ufuatao:- “Habari ndugu mayage! Naitwa Deo Makilika, nipo safarini kuelekea IR (Iringa). Katika makala yako ndani ya Raia Mwema ya Nov 30-Dec 6, pg 22, inaonyesha umeanza ku-
lose mwelekeo, hivi inawezekanaje kukosa chama mbadala cha kusimamia uzalendo katika nchi yenye wazalendo wengi?

Huu ni upotoshaji mkubwa, nashauri uwe unafanya utafiti wa kina kuliko kuandika kwa hisia au jumla jumla, utakuwa mwandishi mzuri sana. Kila la kheri! (0719 935250).


Katika makala yangu ya wiki iliyopita, iliyokuwa na kichwa cha habari kisemacho: Sababu tunayo, tuwang’oe 2015, niliandika kwa kutoa ushauri kwa Watanzania wenzangu kuungana kwa pamoja ili kuuondoa na kuutupa baharini mfumo mzima wa utawala uliopo kwa sasa, kwa kuwa taasisi zake zote, katika matukio mawili tu ya sakata la Richmond na lile la aliyekuwa Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini, David Jairo, zimeonyesha zinausimamia na kuulinda kwa ustadi mkubwa mfumo wa rushwa na ufisadi uliotamalaki nchini.


Katika hilo, nilitoa ushauri kwa wazalendo wenye uchungu wa kweli wa namna utajiri na rasilimali za nchi hii zinavyotafunwa kifisadi, kuanzisha chama cha siasa makini sasa, si kusubiri kesho na Watanzania wakiunge mkono kwa nguvu zote, ili mwaka 2015 tuondokane na mfumo huu wa kulindana
baada ya kamati teule mbili za Bunge letu, zilizochunguza suala la Richmond na Jairo kutufumbua macho juu ya hali halisi inayofanywa na watendaji wetu serikalini.

Hilo la kuwataka wazalendo wa kweli kuanzisha chama cha siasa makini cha kutuongoza Watanzania kuung’oa mfumo wa sasa
, ndilo lililomuudhi msomaji wangu Deo Makilika, anayeamini nimeanza ku-lose (kupoteza) mwelekeo na nimefanya upotoshaji mkubwa kwa ushauri wangu wa kuanzishwa chama mbadala cha kusimamia uzalendo na hivyo kuhoji; “hivi inawezekanaje kukosa chama mbadala cha kusimamia uzalendo katika nchi yenye wazalendo wengi?”

Naomba nimhakikishie ndugu yangu Deo na wasomaji wangu kwa ujumla wao kwamba sijaanza kupoteza mwelekeo. Kama Deo anaujua vizuri mwelekeo wangu, basi naomba aamini kwamba uko pale pale, haujatikiswa. Hata hivyo, napenda kumhakikishia kwa uwazi kabisa na bila shaka yoyote ndugu Deo kwamba kwa
Mtanzania yeyote anayefuatilia siasa za nchi hii, hahitaji kufanya utafiti wowote ili kujua kuwa hadi sasa ninapoandika makala hii na inaposomwa na wasomaji wangu, ndani ya nchi hii, hatuna chama chochote mbadala cha kusimamia uzalendo huo tunaouhitaji Watanzania baada ya miaka mingi ya kunyonywa, kudhulumiwa na kuteswa na baadhi ya Watanzania wenzetu wachache waliokosa uzalendo kwa nchi yao kupitia mikataba mibovu ya umeme, madini na mingine mingi.


Najua wasomaji wangu watanishangaa kwa tamko langu hili la kusema hadi sasa hatuna chama cha siasa chochote ambacho ni mbadala wa CCM 2015 ili kituongoze katika kutupeleka kule ndoto yetu sote inakotuelekeza twende. Hadi sasa, tunavyo vyama 17 vya upinzani vyenye usajili wa kudumu.
Baadhi ya vyama hivyo hata wanaoviongoza hawajulikani. Vyama hivyo ni pamoja na CHADEMA, CUF, TLP, NCCR-Mageuzi, UDP, NLD, NRA, TADEA, UPDP, MAKINI, FORD, CHAUSTA, DP, Jahazi Asilia, PPT-Maendeleo, SAU na UMD.


Nawaomba Watanzania tutoke nje ya ofisi au nyumba zetu kwenda kwa wananchi wenzetu tuwaulize vyama hivyo vinasimamia itikadi na sera gain? Tuwaulize ni chama gani kimeisimamia kwa ustadi hoja yake ya kuwakomboa Watanzania kutoka mikononi mwa madhila ya CCM kwa maendeleo ya nchi na watu wake kwa kauli na vitendo vinavyofanana na jinsi viongozi wao walivyo na wanavyoishi.


Najua wasomaji wangu hao watakaonishangaa, katika orodha hiyo ya vyama 17 vya upinzani watanishangaa kwa sababu imani yao iko katika CHADEMA na wanajua na kuamini kuwa ndicho chama mbadala kitakachokomesha ufisadi na mafisadi katika nchi hii na hivyo, kutufikisha kwenye Tanzania tunayoitaka.


Binafsi bado sijashawishika na chama hicho
, na hasa baada ya kushindwa kusimamia hoja moja tu ya posho ya vikao kwa wabunge na watendaji serikalini, hoja ambayo kinasema imo ndani ya sera zake.

Ndugu zangu, katika mwelekeo na upepo unaoikumba dunia ya sasa, mabadiliko ya uongozi wa chama cha siasa ndani ya nchi yetu ni lazima. Tena basi, mabadiliko hayo yamerahisishwa na watawala wetu wa sasa pamoja na makada wa chama chao tawala kwa sasa.
Ndiyo maana mara zote napoteza nguvu zangu kukishauri CHADEMA ambacho Watanzania wanaelekea kukiamini kuwa ni mbadala wa CCM, kitoke kwenye uanaharakati na kuingia kwenye siasa zinazotia matumaini na zenye lengo la kukamata dola na usimamizi thabiti wa vyombo vya dola kwa misingi ya kidola, na hivyo kuwaongoza wananchi kwa kuonyesha njia.


Ndani ya CHADEMA wapo wanasiasa wazuri tu, wanaofanya siasa kweli, lakini hao hawana sauti wala nafasi ya kukielekeza chama hicho ni ipi njia sahihi ya kufanya siasa. Wenye sauti na ushawishi (
influence) ndani ya chama hicho ni wanaharakati hali inayokifanya chama hicho kuendeshwa kiharakati kwa asilimia 80 na asilimia 20 inayobaki ndiyo inayofanya shughuli za kisiasa.

Narudia tena kusema, fursa hii iliyopo kwa sasa ni tunu ya pekee kwa CHADEMA. Kimeingia Jimbo la Igunga kwa mara ya kwanza na ndani ya siku 28 tu, kimekubalika kwa zaidi ya asilimia 40
. Hiyo tu ya Igunga, ilitosha kuwaelekeza viongozi wa CHADEMA ni dira gani ya kufuata ili mwelekeo huo wa wananchi wa Igunga uwe mwelekeo wa nchi nzima kuelekea 2015.
Badala yake, wanapoteza muda kulumbana kuhusu umeya wa Manispaa ya Arusha, kana kwamba bila umeya huo hakitakuwa na hadhi ya kisiasa. Wanapoteza muda wao kuzungumzia muswada na sheria mpya ya mabadiliko ya Katiba Mpya kana kwamba muswada na sheria hiyo ikiandikwa kwa utashi wao ndiyo itakayopiga kura mwaka 2015 na kukipeleka Ikulu.

Serikali na Rais wake, Jakaya Kikwete pamoja na chama chake, wamekubali kilio cha muda mrefu cha Watanzania kuwa na Katiba Mpya ya nchi. Binafsi, nilitaraji baadhi ya watu wetu weledi wa masuala ya Katiba, baadhi ya wanasiasa na hasa wa CHADEMA, wangekitumia kipindi hiki cha kuelekea uandishi wa Katiba Mpya, katika kufanya utafiti na udadisi wa ni Katiba ipi bora katika nchi za dunia hii, ili iwe mfano wa Katiba mpya tunayoitaka katika mazingira ya kijiogorafia, kisiasa, kijamii na kiuchumi kwa Taifa letu.


Ndugu zangu, katika mazingira haya ya sasa ambayo Watanzania wamekata tamaa na kuishiwa kabisa matumaini ya kuendelea kutawaliwa na CCM, CHADEMA kinaonekana kuwa mbadala kwa kuwa katika udhaifu wa vyama vyote vya siasa vilivyopo, kinaonekana kuwa na unafuu wa udhaifu kuliko vingine. Lakini hiyo haitufanyi tusahau msemo wa kwamba hata katika msafara wa ndege aina ya bundi, lazima apatikane bundi wa kuwaongoza wenzao waliomo katika msafara huo.


Kwa upepo wa mabadiliko unaovuma duniani kwa sasa, na ambao Watanzania hatuna njia yoyote ile ya kuukwepa tukiwa chini ya utawala huu wa CCM ya aina ya sasa, inayoshindwa kuchukua hatua stahiki kwa mafisadi wanaoifisadi nchi yetu na kuendekeza urafiki na uswahiba katika masuala ya msingi ya uongozi wa nchi na yanayogusa uhai na uchumi wa Taifa letu, upepo huo unaweza kabisa kutusukumia mikononi mwa hata shetani au chama cha ovyo ili mradi tu kutimiza dhamira na nia yetu ya mabadiliko hayo.


Vyama vya siasa vya kambi ya upinzani tulivyonavyo, vipo na vilianzishwa kwa sababu ya fursa ya kikatiba. Vingi ya hivyo, vinafanya siasa za kubabaisha ili vionekane vipo kwa sababu vilisajiliwa kama vyama vya siasa. Hata viongozi wao wengi ni watu ambao huko nyuma walishindwa kuishi katika masharti na misingi ya uzalendo na utaifa enzi za chama kimoja na kujikuta wakitupwa nje ya mfumo, na hivyo walianzisha vyama vya siasa watakavyotumia kama jukwaa la kuwasema mahasimu wao hao wa zamani.


Nihitimishe makala yangu hii kwa kusema tunahitaji kuwa na chama cha siasa kitakachoanzishwa na kundi la watu linalochukizwa na mwenendo wa utawala wa chama kilichoko madarakani leo, ambao hautoi matumaini ya kuwaondolea Watanzania maadui wakuu watatu waliotangazwa miaka 50 iliyopita; ujinga, maradhi na umasikini.


Tunahitaji kuwa na chama cha siasa, kitakachoanzishwa na kundi la watu wenye uzalendo wa kweli kwa taifa lao, wanaoamini kwamba ardhi ya kutosha tunayo, siasa safi ambayo imeendelea kusimamia misingi ya amani na utulivu iliyowekwa na waasisi wa taifa letu tunayo, isipokuwa tumeshindwa kufika katika safari yetu kwa sababu tu tumekosa uongozi bora. Kwa hiyo, kuanzia sasa, tunahitaji kuwa na uongozi bora wa nchi, unaotokana na chama kipya bora cha siasa, kitakachoanzishwa na watu wenye dhamira hiyo katika nafsi zao.


Tulivyonavyo sasa, havina tufauti na NGO’s tunazozijua. Ni vyama vya kutafuta fedha za ruzuku ndani na nje ya nchi, ili walau familia za wanaoviongoza ziishi maisha yanayofanana na familia za watawala wetu.


Ndiyo maana waliomo ndani ya vyama hivyo, wakikosa tu fursa ya ulaji, hukimbilia kuisaka fursa hiyo ndani ya vyama vingine ili tu wafanikishe ulaji. Nitakuwa mtu wa mwisho kuamini kuwa wanasiasa aina ya Magale John Shibuda wanaweza kukubali kukifia chama chao cha sasa pindi ubunge utakapowaponyoka. Naomba kuwasilisha!



Ujinga wa Mayage
  1. Mayage anakiri kuwa CHADEMA ni kipenzi cha watanzania halafu anasema binafsi yeye hakijamshawishi kuwa mbadala wa CCM. Kama kimeweza kuwa kipenzi cha watanzania waliowengi inawezekana hakijamshawishi yeye kutokana na upeo wake ndio maana mnaweza kuwa darasa moja mmoja anapata zero na mwingine division one uwezo wake wakuelewa mambo hawezi kutushawishi watanzania wengi waliowapenzi wa CHADEMA kama alivyokiri mwenyewe.
  2. Mayage anasema CHADEMA hakijamshawishi na wala si mbadala halafu bado anapoteza muda kukishauri huu si ujinga mwingine. Halafu anasema tena hii ni fursa pekee kwa CHADEMA kwa vipi wakati ameshauri kianzishwe chama kingine.
  3. Aliponiacho hoi zaidi ni hapo ni kuhusu Katiba, kwa maneno yake anasema, Binafsi, nilitaraji baadhi ya watu wetu weledi wa masuala ya Katiba, baadhi ya wanasiasa na hasa wa CHADEMA, wangekitumia kipindi hiki cha kuelekea uandishi wa Katiba Mpya, katika kufanya utafiti na udadisi wa ni Katiba ipi bora katika nchi za dunia hii, ili iwe mfano wa Katiba mpya tunayoitaka katika mazingira ya kijiogorafia, kisiasa, kijamii na kiuchumi kwa Taifa letu.Unafanya utafiti wa nini halafu uupelekewapi wakati hakuna mfumo mzuri wa kupokea tafiti zako.
Anayebisha abishe lakini huyu bwana anamtumikia

Nawasilisha hoja
 
Huyu mwandishi anajulikana vema.Ni kati ya waandishi wachache wanaopigania matumbo yao.Mayage ni mtu ambaye ana uwezo wa kusema rangi nyeupe ni nyekundu alimradi anapata mradi wake.Mimi sijashangazwa kabisa na hii makala yake kwani ndio kazi anayofanya na aliyotumwa.Mayage anafahamika vema makala zake alipokuwa gazeti la RAI,kila makala ilikuwa inashambulia vyama vya upinzani.Eti leo hii Mayage ninayemfahamu atoe ushauri kwa CHADEMA? Kituko.Dr Slaa hajakosea kumjibu huyu mamluki kwani kama mfuatiliaji wa vyombo vya habari atakuwa anamfahamu fika huyu mamluki.Mayage alichangia sana chuki ya watu dhidi ya gazeti la RAI na ni miongoni mwa watu walioporomosha hadhi ya gazeti hilo.Atujibu kwanini alivuliwa gamba kutoka RAI?
Nitoe pia ushauri wa bure kwa wahariri wa gazeti la RAIA MWEMA,ni ukweli usiopingika kwamba baadhi ya watu sasa wameanza kuhoji baadhi ya habari za gazeti hili pendwa.Kuweni macho! Baadhi ya waandishi uchwara wa aina ya Mayage ndio watakaoangamiza gazeti hili pendwa kama walivyofanya kule RAI halafu sasa wametumwa huku RAIA MWEMA kukamilisha kazi ili kuwanyooshea njia wasiofaa na mafisadi kukamata dola 2015.
RAIA MWEMA kuweni macho!
 
Ni kweli yapo mapungufu kadhaa lakini sehemu kubwa mwandishi Mayange yuko sahihi.Mfano hili suala la CDM kuweka kambi Arusha kila mara kulilia Umeya nilishasema siku nyingi kama CDM wanahisi wameonewa wangeenda mahakamani.Muda wa kwenda mahakamani umeshapita sioni suluhu ya hili jambo labda uchaguzi ujao.Tazama uchaguzi wa Igunga umetoa picha nzuri sana kwamba CDM wanakazi kubwa ya kufanya kabla ya uchaguzi mkuu mwaka 2015.
 
Huyu mwandishi anajulikana vema.Ni kati ya waandishi wachache wanaopigania matumbo yao.Mayage ni mtu ambaye ana uwezo wa kusema rangi nyeupe ni nyekundu alimradi anapata mradi wake.Mimi sijashangazwa kabisa na hii makala yake kwani ndio kazi anayofanya na aliyotumwa.Mayage anafahamika vema makala zake alipokuwa gazeti la RAI,kila makala ilikuwa inashambulia vyama vya upinzani.Eti leo hii Mayage ninayemfahamu atoe ushauri kwa CHADEMA? Kituko.Dr Slaa hajakosea kumjibu huyu mamluki kwani kama mfuatiliaji wa vyombo vya habari atakuwa anamfahamu fika huyu mamluki.Mayage alichangia sana chuki ya watu dhidi ya gazeti la RAI na ni miongoni mwa watu walioporomosha hadhi ya gazeti hilo.Atujibu kwanini alivuliwa gamba kutoka RAI?
Nitoe pia ushauri wa bure kwa wahariri wa gazeti la RAIA MWEMA,ni ukweli usiopingika kwamba baadhi ya watu sasa wameanza kuhoji baadhi ya habari za gazeti hili pendwa.Kuweni macho! Baadhi ya waandishi uchwara wa aina ya Mayage ndio watakaoangamiza gazeti hili pendwa kama walivyofanya kule RAI halafu sasa wametumwa huku RAIA MWEMA kukamilisha kazi ili kuwanyooshea njia wasiofaa na mafisadi kukamata dola 2015.
RAIA MWEMA kuweni macho!
 
Bwana Mayage hana dhamira ya kweli ya kuisaidia Chadema. Muelezeni kuwa Bifu la Mbowe vs Zitto limeshapitwa na wakati.
 
MAYAGE S MAYAGE ni mojawapo ktk kundi la WAANDISHI MAKANJANJA.Mimi namshauri aanzishe hicho chama kipya kitakachokuwa mbadala wa MAGAMBA 2015
 
Ni kweli si kwamba tunapenda kusikia tu yale mazuri au kusifiwa,kwa yale yanayohitaji marekebisho CHADEMA watafanya

Kwa maoni yangu jamaa kuna kazi anaifanya,nadhani sitakosea nikisema ametumwa,mfano ni kujichanganya katika hoja na kusifia baadhi mambo ambayo yanaonekana kabisa ni ya ovyo kwa kipimo chochote kile,hususan kuhusu katiba mpya

Nasema hivi kwa sababu nimekuwa nikisoma makala zake siku nyingi,haijatokea huko nyuma akijichanganya kama hivi anavyofanya kipindi hiki
 
Mayage amekosa kitu cha maana cha kushauri CDM. Mimi mara tu baada ya kusoma makala ile nilimwandikia sms; pamoja na mambo mengine nikamwambia kuwa, anaonekana anamtumikia mtu fulani, na labda analipwa kwa ajili ya kumchafua Dr Slaa kisiasa. Mimi nikiri tu kwamba huyu Bwana anaelekea kupoteza wateja wa Raia Mwema gazeti ambalo limejizolea umaarufu mkubwa wa kuandika makala zenye akili, siyo hizi za Mayage.
 
Ni wazi kwamba Mayage hana nia njema na CDM. Haiingii akilini yeye kusimama na kuhamasisha uanzishwaji wa chama kipya (ingawa ana haki ya kufanya hivyo) na wakati huo huo kutoa ushauri kwa CDM. Nadhani huo ushauri ni wa kinafiki. Utakishaurije chama ambacho umeshakiponda na kukiona hakifai mpaka ukahamasisha kianzishwe kingine mbadala?
 
Ombwe dhahiri, mbadala wa CCM ni chama kipya

Mayage S. Mayage
MAKALA zangu mbili katika matoleo mawili yaliyopita ya gazeti hili zimeniunganisha kwa karibu katika pembe tatu; kwa maana ya mimi binafsi, wanachama na wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) pamoja na mtendaji wa mkuu chama hicho, Dk. Wilbroad Slaa.

Hata hivyo, katika muunganisho huo, wengi na hasa wapenzi wa CHADEMA, hawakufurahishwa na ujumbe mfupi (sms) niliotumiwa na Dk. Slaa, akiponda ushauri wangu kwa chama hicho wa kujikita zaidi katika kufanya siasa badala ya kutumia muda mwingi kuendesha uanaharakati wa maandamano, nikijenga hoja kwamba 2015 si mbali, wabunge wa CHADEMA wanatakiwa kuja na programu za maendeleo kwa wananchi wa majimbo yao ili yasije yakakikuta yaliyokikuta chama cha
NCCR-Mageuzi mwaka 2000.


Kwa kuwa wasomaji wangu wengi, katika kunipa pole kuhusu ujumbe huo wa Dk. Slaa wakiniomba nisikate tamaa kuendelea kutoa ushauri kwa chama hicho
kipenzi cha Watanzania wamejaribu pia kuwasiliana moja kwa moja na Dk. Slaa ili kujiridhisha kama kweli ujumbe ule ni wake, na kama kweli ule ndio mtazamo na majibu yake kwa ushauri wangu ule kwa chama chake, niwashukuru nyote mlioguswa kwa ujumla wenu na yote masuala hayo mawili na kufanya mawasiliano nami.


Hata hivyo, kabla ya kuanza mada yangu ya leo, niwaombe miongoni mwenu nyote mlioguswa na makala zote mbili zile, na lakini pia mkaguswa na ujumbe mfupi wa Dk. Slaa kwangu, niteue ujumbe mfupi (sms) wa msomaji mmoja, ambaye kwa kumfahamu kwangu naamini ni bado mtu mwenye fikra na maoni huru ambayo hayajaathiriwa na itikadi za siasa za vyama vyetu.

Msomaji wangu huyo, Absalom Kibanda, ambaye ni Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya Freemedia, baada ya kupitia makala zangu zote mbili na pia kusoma mrejesho wa Dk. Slaa kwangu kwa makala ya wiki ile ya nyuma, alinitumia ujumbe huu: "Kaka umefanya kazi kubwa. Katika hili, nadhani Dk. Slaa alihamaki bila sababu kwa kuwa hata kama ulichokiandika kilimkera kwa sababu zozote zile, iwe ni kwa upotoshaji au kupingana na mwenendo wa CHADEMA, bado alipaswa kuonyesha ustahimilivu na ukomavu wa kisiasa (0754 001010).


Baada ya utangulizi huo, niwaombe wasomaji wangu tuendelee na mada ya leo. Makala hii ya leo nimeiandika nikisukumwa na msomaji wangu mmoja katika makala ya wiki iliyopita. Msomaji huyo, baada ya kuyapitia maandishi yangu, alinitumia ujumbe ufuatao:- "Habari ndugu mayage! Naitwa Deo Makilika, nipo safarini kuelekea IR (Iringa). Katika makala yako ndani ya Raia Mwema ya Nov 30-Dec 6, pg 22, inaonyesha umeanza ku-
lose mwelekeo, hivi inawezekanaje kukosa chama mbadala cha kusimamia uzalendo katika nchi yenye wazalendo wengi?

Huu ni upotoshaji mkubwa, nashauri uwe unafanya utafiti wa kina kuliko kuandika kwa hisia au jumla jumla, utakuwa mwandishi mzuri sana. Kila la kheri! (0719 935250).


Katika makala yangu ya wiki iliyopita, iliyokuwa na kichwa cha habari kisemacho: Sababu tunayo, tuwang'oe 2015, niliandika kwa kutoa ushauri kwa Watanzania wenzangu kuungana kwa pamoja ili kuuondoa na kuutupa baharini mfumo mzima wa utawala uliopo kwa sasa, kwa kuwa taasisi zake zote, katika matukio mawili tu ya sakata la Richmond na lile la aliyekuwa Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini, David Jairo, zimeonyesha zinausimamia na kuulinda kwa ustadi mkubwa mfumo wa rushwa na ufisadi uliotamalaki nchini.


Katika hilo, nilitoa ushauri kwa wazalendo wenye uchungu wa kweli wa namna utajiri na rasilimali za nchi hii zinavyotafunwa kifisadi, kuanzisha chama cha siasa makini sasa, si kusubiri kesho na Watanzania wakiunge mkono kwa nguvu zote, ili mwaka 2015 tuondokane na mfumo huu wa kulindana
baada ya kamati teule mbili za Bunge letu, zilizochunguza suala la Richmond na Jairo kutufumbua macho juu ya hali halisi inayofanywa na watendaji wetu serikalini.

Hilo la kuwataka wazalendo wa kweli kuanzisha chama cha siasa makini cha kutuongoza Watanzania kuung'oa mfumo wa sasa
, ndilo lililomuudhi msomaji wangu Deo Makilika, anayeamini nimeanza ku-lose (kupoteza) mwelekeo na nimefanya upotoshaji mkubwa kwa ushauri wangu wa kuanzishwa chama mbadala cha kusimamia uzalendo na hivyo kuhoji; "hivi inawezekanaje kukosa chama mbadala cha kusimamia uzalendo katika nchi yenye wazalendo wengi?"

Naomba nimhakikishie ndugu yangu Deo na wasomaji wangu kwa ujumla wao kwamba sijaanza kupoteza mwelekeo. Kama Deo anaujua vizuri mwelekeo wangu, basi naomba aamini kwamba uko pale pale, haujatikiswa. Hata hivyo, napenda kumhakikishia kwa uwazi kabisa na bila shaka yoyote ndugu Deo kwamba kwa
Mtanzania yeyote anayefuatilia siasa za nchi hii, hahitaji kufanya utafiti wowote ili kujua kuwa hadi sasa ninapoandika makala hii na inaposomwa na wasomaji wangu, ndani ya nchi hii, hatuna chama chochote mbadala cha kusimamia uzalendo huo tunaouhitaji Watanzania baada ya miaka mingi ya kunyonywa, kudhulumiwa na kuteswa na baadhi ya Watanzania wenzetu wachache waliokosa uzalendo kwa nchi yao kupitia mikataba mibovu ya umeme, madini na mingine mingi.


Najua wasomaji wangu watanishangaa kwa tamko langu hili la kusema hadi sasa hatuna chama cha siasa chochote ambacho ni mbadala wa CCM 2015 ili kituongoze katika kutupeleka kule ndoto yetu sote inakotuelekeza twende. Hadi sasa, tunavyo vyama 17 vya upinzani vyenye usajili wa kudumu.
Baadhi ya vyama hivyo hata wanaoviongoza hawajulikani. Vyama hivyo ni pamoja na CHADEMA, CUF, TLP, NCCR-Mageuzi, UDP, NLD, NRA, TADEA, UPDP, MAKINI, FORD, CHAUSTA, DP, Jahazi Asilia, PPT-Maendeleo, SAU na UMD.


Nawaomba Watanzania tutoke nje ya ofisi au nyumba zetu kwenda kwa wananchi wenzetu tuwaulize vyama hivyo vinasimamia itikadi na sera gain? Tuwaulize ni chama gani kimeisimamia kwa ustadi hoja yake ya kuwakomboa Watanzania kutoka mikononi mwa madhila ya CCM kwa maendeleo ya nchi na watu wake kwa kauli na vitendo vinavyofanana na jinsi viongozi wao walivyo na wanavyoishi.


Najua wasomaji wangu hao watakaonishangaa, katika orodha hiyo ya vyama 17 vya upinzani watanishangaa kwa sababu imani yao iko katika CHADEMA na wanajua na kuamini kuwa ndicho chama mbadala kitakachokomesha ufisadi na mafisadi katika nchi hii na hivyo, kutufikisha kwenye Tanzania tunayoitaka.


Binafsi bado sijashawishika na chama hicho
, na hasa baada ya kushindwa kusimamia hoja moja tu ya posho ya vikao kwa wabunge na watendaji serikalini, hoja ambayo kinasema imo ndani ya sera zake.

Ndugu zangu, katika mwelekeo na upepo unaoikumba dunia ya sasa, mabadiliko ya uongozi wa chama cha siasa ndani ya nchi yetu ni lazima. Tena basi, mabadiliko hayo yamerahisishwa na watawala wetu wa sasa pamoja na makada wa chama chao tawala kwa sasa.
Ndiyo maana mara zote napoteza nguvu zangu kukishauri CHADEMA ambacho Watanzania wanaelekea kukiamini kuwa ni mbadala wa CCM, kitoke kwenye uanaharakati na kuingia kwenye siasa zinazotia matumaini na zenye lengo la kukamata dola na usimamizi thabiti wa vyombo vya dola kwa misingi ya kidola, na hivyo kuwaongoza wananchi kwa kuonyesha njia.


Ndani ya CHADEMA wapo wanasiasa wazuri tu, wanaofanya siasa kweli, lakini hao hawana sauti wala nafasi ya kukielekeza chama hicho ni ipi njia sahihi ya kufanya siasa. Wenye sauti na ushawishi (
influence) ndani ya chama hicho ni wanaharakati hali inayokifanya chama hicho kuendeshwa kiharakati kwa asilimia 80 na asilimia 20 inayobaki ndiyo inayofanya shughuli za kisiasa.

Narudia tena kusema, fursa hii iliyopo kwa sasa ni tunu ya pekee kwa CHADEMA. Kimeingia Jimbo la Igunga kwa mara ya kwanza na ndani ya siku 28 tu, kimekubalika kwa zaidi ya asilimia 40
. Hiyo tu ya Igunga, ilitosha kuwaelekeza viongozi wa CHADEMA ni dira gani ya kufuata ili mwelekeo huo wa wananchi wa Igunga uwe mwelekeo wa nchi nzima kuelekea 2015.
Badala yake, wanapoteza muda kulumbana kuhusu umeya wa Manispaa ya Arusha, kana kwamba bila umeya huo hakitakuwa na hadhi ya kisiasa. Wanapoteza muda wao kuzungumzia muswada na sheria mpya ya mabadiliko ya Katiba Mpya kana kwamba muswada na sheria hiyo ikiandikwa kwa utashi wao ndiyo itakayopiga kura mwaka 2015 na kukipeleka Ikulu.

Serikali na Rais wake, Jakaya Kikwete pamoja na chama chake, wamekubali kilio cha muda mrefu cha Watanzania kuwa na Katiba Mpya ya nchi. Binafsi, nilitaraji baadhi ya watu wetu weledi wa masuala ya Katiba, baadhi ya wanasiasa na hasa wa CHADEMA, wangekitumia kipindi hiki cha kuelekea uandishi wa Katiba Mpya, katika kufanya utafiti na udadisi wa ni Katiba ipi bora katika nchi za dunia hii, ili iwe mfano wa Katiba mpya tunayoitaka katika mazingira ya kijiogorafia, kisiasa, kijamii na kiuchumi kwa Taifa letu.


Ndugu zangu, katika mazingira haya ya sasa ambayo Watanzania wamekata tamaa na kuishiwa kabisa matumaini ya kuendelea kutawaliwa na CCM, CHADEMA kinaonekana kuwa mbadala kwa kuwa katika udhaifu wa vyama vyote vya siasa vilivyopo, kinaonekana kuwa na unafuu wa udhaifu kuliko vingine. Lakini hiyo haitufanyi tusahau msemo wa kwamba hata katika msafara wa ndege aina ya bundi, lazima apatikane bundi wa kuwaongoza wenzao waliomo katika msafara huo.


Kwa upepo wa mabadiliko unaovuma duniani kwa sasa, na ambao Watanzania hatuna njia yoyote ile ya kuukwepa tukiwa chini ya utawala huu wa CCM ya aina ya sasa, inayoshindwa kuchukua hatua stahiki kwa mafisadi wanaoifisadi nchi yetu na kuendekeza urafiki na uswahiba katika masuala ya msingi ya uongozi wa nchi na yanayogusa uhai na uchumi wa Taifa letu, upepo huo unaweza kabisa kutusukumia mikononi mwa hata shetani au chama cha ovyo ili mradi tu kutimiza dhamira na nia yetu ya mabadiliko hayo.


Vyama vya siasa vya kambi ya upinzani tulivyonavyo, vipo na vilianzishwa kwa sababu ya fursa ya kikatiba. Vingi ya hivyo, vinafanya siasa za kubabaisha ili vionekane vipo kwa sababu vilisajiliwa kama vyama vya siasa. Hata viongozi wao wengi ni watu ambao huko nyuma walishindwa kuishi katika masharti na misingi ya uzalendo na utaifa enzi za chama kimoja na kujikuta wakitupwa nje ya mfumo, na hivyo walianzisha vyama vya siasa watakavyotumia kama jukwaa la kuwasema mahasimu wao hao wa zamani.


Nihitimishe makala yangu hii kwa kusema tunahitaji kuwa na chama cha siasa kitakachoanzishwa na kundi la watu linalochukizwa na mwenendo wa utawala wa chama kilichoko madarakani leo, ambao hautoi matumaini ya kuwaondolea Watanzania maadui wakuu watatu waliotangazwa miaka 50 iliyopita; ujinga, maradhi na umasikini.


Tunahitaji kuwa na chama cha siasa, kitakachoanzishwa na kundi la watu wenye uzalendo wa kweli kwa taifa lao, wanaoamini kwamba ardhi ya kutosha tunayo, siasa safi ambayo imeendelea kusimamia misingi ya amani na utulivu iliyowekwa na waasisi wa taifa letu tunayo, isipokuwa tumeshindwa kufika katika safari yetu kwa sababu tu tumekosa uongozi bora. Kwa hiyo, kuanzia sasa, tunahitaji kuwa na uongozi bora wa nchi, unaotokana na chama kipya bora cha siasa, kitakachoanzishwa na watu wenye dhamira hiyo katika nafsi zao.


Tulivyonavyo sasa, havina tufauti na NGO's tunazozijua. Ni vyama vya kutafuta fedha za ruzuku ndani na nje ya nchi, ili walau familia za wanaoviongoza ziishi maisha yanayofanana na familia za watawala wetu.


Ndiyo maana waliomo ndani ya vyama hivyo, wakikosa tu fursa ya ulaji, hukimbilia kuisaka fursa hiyo ndani ya vyama vingine ili tu wafanikishe ulaji. Nitakuwa mtu wa mwisho kuamini kuwa wanasiasa aina ya Magale John Shibuda wanaweza kukubali kukifia chama chao cha sasa pindi ubunge utakapowaponyoka. Naomba kuwasilisha!



Ujinga wa Mayage
  1. Mayage anakiri kuwa CHADEMA ni kipenzi cha watanzania halafu anasema binafsi yeye hakijamshawishi kuwa mbadala wa CCM. Kama kimeweza kuwa kipenzi cha watanzania waliowengi inawezekana hakijamshawishi yeye kutokana na upeo wake ndio maana mnaweza kuwa darasa moja mmoja anapata zero na mwingine division one uwezo wake wakuelewa mambo hawezi kutushawishi watanzania wengi waliowapenzi wa CHADEMA kama alivyokiri mwenyewe.
  2. Mayage anasema CHADEMA hakijamshawishi na wala si mbadala halafu bado anapoteza muda kukishauri huu si ujinga mwingine. Halafu anasema tena hii ni fursa pekee kwa CHADEMA kwa vipi wakati ameshauri kianzishwe chama kingine.
  3. Aliponiacho hoi zaidi ni hapo ni kuhusu Katiba, kwa maneno yake anasema, Binafsi, nilitaraji baadhi ya watu wetu weledi wa masuala ya Katiba, baadhi ya wanasiasa na hasa wa CHADEMA, wangekitumia kipindi hiki cha kuelekea uandishi wa Katiba Mpya, katika kufanya utafiti na udadisi wa ni Katiba ipi bora katika nchi za dunia hii, ili iwe mfano wa Katiba mpya tunayoitaka katika mazingira ya kijiogorafia, kisiasa, kijamii na kiuchumi kwa Taifa letu.Unafanya utafiti wa nini halafu uupelekewapi wakati hakuna mfumo mzuri wa kupokea tafiti zako.

Anayebisha abishe lakini huyu bwana anamtumikia

Nawasilisha hoja

Shida ni kwamba watanzania walio wengi si critical. Hivyo, uwezo wao wa kuchanganua mambo ni mdogo sana maana the best they can do is to condone an evil rather than fight against it. Na wanapofanya hivyo, wanadhani ndipo wanapolinda amani, utulivu na umoja au muungano. Hawa watu ni hatari sana! Mimi nawaunga Chadema mkono kwa kupigania haki za Watanzania na inatia kichefuchefu kusikia watu wengine wakiwashauri waache kufanya hivyo. Of course, kila kitu kina gharama zake. Ukombozi wa Watanzania hauwezi kuja hivi hivi bila gharama na moja ya gharama zake ni kufanya maandamano. Wakati wa kampeni za uchaguzi CCM iliingia gharama za kuweka mabago ya rais nchi nzima (ni kiasi gani cha mihela ambayo ingeweza kutumika kwenye maendeleo) lakini hiyo mihela haikumsaidia mtu. Chadema hata kama wanapoteza muda kufanya maandamano, faida yake ni kubwa - kwanza kupinga uonevu, ufujaji wa mali ya umma, uporaji wa maliasili na demokrasia etc. Hivyo, mtu anayesema wanapoteza muda, hajui anachokisema.
 
Hili Gazeti la Raia Mwema hata Nimeshahau linatoka lini! Hili limekuwa kama Gazeti la Membe
 
Hili Gazeti la Raia Mwema hata Nimeshahau linatoka lini! Hili limekuwa kama Gazeti la Membe

ukifuatilia kwa makini taarifa zake kuna ukweli na unayosema.Haiwezekani kila leo hili gazeti ni kumtukana Lowassa na Chadema.
 
Hili ndilo tatizo kubwa! Kila anayekuja na hoja ya udhaifu uliopo CDM anadhaniwa kuwa ni CCM!!!WAPENDWA haya ni katika kujenga chama!!!

Mguu tulionza nao sio sahihi!!wananchi wamechoka,nasi twatumia nafasi hiyo kuona kila jambo tulifanyalo ni sahihi!!!ok wengine tuna mawazo ya kipumbavu!!ila mkumbuke kisemwecho sahihi ata tufanyeje,tupinge kitajidhirisha tu! Ni suala la muda!!na ngoja tuone! 2015 si mbali!


By Kaa la Moto Nenda CCM huko matakwa yako yatatimia. Chadema hakuna atakayesikiliza ujinga wako.
Mbowe bado ni kiongozi safi hata ccm mnafahamu.
Narudia kusema tena nenda ccm waliokutuma. Kwetu Chadema haatukubaliani na mawazo ya kijinga kama nyie mnavyosikiliza mawazo ya kijinga ya wakina nape nyauye


upinzani au siasa ni kutofautiana sio kugombana ebbooo nyie watz wenzangu tuache ushabiki sasa tuangalie maslahi ya watoto na wajukuu zetu

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom