Ngisibara
JF-Expert Member
- Jan 2, 2009
- 3,301
- 2,076
Hili ndilo tatizo kubwa tulilonalo wana CDM!!jana kuna mada nilichangia!nikatoa hoja kwamba tuna ombwe la uongozi pale juu na kwa kuwa chama bado kipo katika fikra za waanzilishi!na mwenyekiti wetu kwa uongozi wake ameshindwa kukitoa kwenye fikra hizo!!
Na nikainisha mambo mengi!na mwishowe nikasema M wenyekiti mbowe hakuna namna ni lazima atoke kwa ustawi wa chadema na kwa maendeleo ya chama!!!
Nikatukanwa,nikadharirishwa sana na wanachadema wenzangu ambao mimi kama zitto sijui chama chochote cha siasa zaid ya chadema,mbaya zaid nimeanza piga kura 95 nikiwa si mwanachama wa chama chocote! Na nilipiga hata umri haujatimia!!!
Na nilijiunga chadema yapata miaka 2 iliyopita!!!ila chadema pale juu kuna mapungufu !!tutake tusitake!!na huo ndio ukweli!!!Mbowe ni muhimu aondoke!
Taja sababu za kumtoa Mbowe na uzijengee hoja kwanza, zikieleweka basi taratibu za kumtoa zitafuata