Gavana
JF-Expert Member
- Jul 19, 2008
- 33,257
- 8,775
Mh. Waitara ana shida mahala maana hataki kukosolewa hata kidogo,yeyote atakayempinga tu anamchukulia hatua.Hii ni dalili mbaya sana kwani inaashiria anguko kuu la Waitara
Huyu Waitara ni Dada au? naona matendo yake ni kama ya watoto si rizki , au vijana walishampa kazi mjini?