Columbus
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 2,002
- 648
Nyumba ya jirani polisi wawili wamepewa notice kufuatia mauaji ya mwandishi wa habari Daud Mwangosi kule Iringa. Binafsi naona hii sio sawa hawa ni wenzetu wanahadaiwa na serikali iliyoko madarakani. Wanamageuzi wakichukua nchi 2015 wataendelea kuitumikia serikali iliyopo madarakani kwa mujibu wa miiko ya kazi yao.