Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,251
- 34,198
Dikteta uchwara katika ubora wakeKwa mujibu wa Polisi, Erick Kabendera anatuhumiwa kuandika habari zinazosemekana ni “za uongo katika gazeti la The Economist” na hivyo kuvunja Sheria ya makosa ya mtandaoni (CYBERCRIME ACT) kifungu cha 16.
Wanasheria na ndugu wanaendelea kufuatilia kwa karibu...
Mwandishi wa habari za uchunguzi nchini, Erick Kabendera sasa anashikiliwa rasmi kituo cha polisi kati