Mwandishi asakwa akidaiwa kubaka

Kanungila Karim

JF-Expert Member
Apr 29, 2016
20,744
25,445
GEITA.

Jeshi la Polisi mkoani Geita linamsaka mwandishi wa habari wa moja ya kituo cha runinga hapa nchini, kwa tuhuma za kumbaka mwanafunzi wa darasa la sita katika shule ya msingi Emaco iliyopo mjini Geita.

Kamanda wa polisi mkoani hapa, Henry Mwaibambe amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema mwanafunzi huyo mwenye umri wa miaka 12 kabla ya kubakwa alirubuniwa kwa vitu mbalimbali ikiwamo simu ya mkononi.

Amesema mtuhumiwa amekuwa akimrubuni mtoto huyo kwa kumnunulia manukato, simu ikiwa na ‘line’iliyosajiliwa kwa jina la mwandishi huyo pamoja na kumpa fedha.

“Tukio hili la ubakaji unapaswa kulishughulikia kwa umakini mkubwa ukilikosa unaharibu ushahidi wote. Huyu ni mtoto mdogo na tumejitahidi kukusanya ushahidi wote ili tukifika mahakamani haki iweze kutendeka bila kuacha shaka”amesema Mwaibambe.

©Mwananchi
 
Naomba mtuletee miongoni mean habari ambazo amekuwa akiandika hulu jukwaani,ama mtujuze marengo wake wa kiitikadi tafadhali
 
GEITA.

Jeshi la Polisi mkoani Geita linamsaka mwandishi wa habari wa moja ya kituo cha runinga hapa nchini, kwa tuhuma za kumbaka mwanafunzi wa darasa la sita katika shule ya msingi Emaco iliyopo mjini Geita.

Kamanda wa polisi mkoani hapa, Henry Mwaibambe amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema mwanafunzi huyo mwenye umri wa miaka 12 kabla ya kubakwa alirubuniwa kwa vitu mbalimbali ikiwamo simu ya mkononi.

Amesema mtuhumiwa amekuwa akimrubuni mtoto huyo kwa kumnunulia manukato, simu ikiwa na ‘line’iliyosajiliwa kwa jina la mwandishi huyo pamoja na kumpa fedha.

“Tukio hili la ubakaji unapaswa kulishughulikia kwa umakini mkubwa ukilikosa unaharibu ushahidi wote. Huyu ni mtoto mdogo na tumejitahidi kukusanya ushahidi wote ili tukifika mahakamani haki iweze kutendeka bila kuacha shaka”amesema Mwaibambe.

©Mwananchi
Naomba mtuletee miongoni mean habari ambazo amekuwa akiandika hulu jukwaani,ama mtujuze marengo wake wa kiitikadi tafadhali.
Kanjanja na Ni UVCCm
Hapa na jaribu ,kuona kama haja mshika simba sharubu.
 
GEITA.

Jeshi la Polisi mkoani Geita linamsaka mwandishi wa habari wa moja ya kituo cha runinga hapa nchini, kwa tuhuma za kumbaka mwanafunzi wa darasa la sita katika shule ya msingi Emaco iliyopo mjini Geita.

Kamanda wa polisi mkoani hapa, Henry Mwaibambe amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema mwanafunzi huyo mwenye umri wa miaka 12 kabla ya kubakwa alirubuniwa kwa vitu mbalimbali ikiwamo simu ya mkononi.

Amesema mtuhumiwa amekuwa akimrubuni mtoto huyo kwa kumnunulia manukato, simu ikiwa na ‘line’iliyosajiliwa kwa jina la mwandishi huyo pamoja na kumpa fedha.

“Tukio hili la ubakaji unapaswa kulishughulikia kwa umakini mkubwa ukilikosa unaharibu ushahidi wote. Huyu ni mtoto mdogo na tumejitahidi kukusanya ushahidi wote ili tukifika mahakamani haki iweze kutendeka bila kuacha shaka”amesema Mwaibambe.

©Mwananchi
Miaka 30 inahusika hapa
 
GEITA.

Jeshi la Polisi mkoani Geita linamsaka mwandishi wa habari wa moja ya kituo cha runinga hapa nchini, kwa tuhuma za kumbaka mwanafunzi wa darasa la sita katika shule ya msingi Emaco iliyopo mjini Geita.

Kamanda wa polisi mkoani hapa, Henry Mwaibambe amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema mwanafunzi huyo mwenye umri wa miaka 12 kabla ya kubakwa alirubuniwa kwa vitu mbalimbali ikiwamo simu ya mkononi.

Amesema mtuhumiwa amekuwa akimrubuni mtoto huyo kwa kumnunulia manukato, simu ikiwa na ‘line’iliyosajiliwa kwa jina la mwandishi huyo pamoja na kumpa fedha.

“Tukio hili la ubakaji unapaswa kulishughulikia kwa umakini mkubwa ukilikosa unaharibu ushahidi wote. Huyu ni mtoto mdogo na tumejitahidi kukusanya ushahidi wote ili tukifika mahakamani haki iweze kutendeka bila kuacha shaka”amesema Mwaibambe.

©Mwananchi
Sasa hawamtaji huyo mwandishi tutawasaidia vipi kumkamata? Tusije mkamata paskali bure tukampeleka, maana paskali mitaa ile anapita sana kumuulizia peneza
 
Hana jna?
Gazeti lililoandika hiyo habari Ni "mwananchi" Mwananchi la sasa liko team moja na UVCCM. We angalia zile habari za kiuchunguzi hazipo Tena.
Wanaajiri Hawa kina Nyamayao ambao walishazoea kuandika udaku.
 
Back
Top Bottom