Mwandishi wa habari wa gazeti la Tanzania Daima, Shaban Matutu amepigwa risasi na Polisi, ambao wanadaiwa walikuwa wanamtafuta mhalifu na kwenda kugonga chumbani kwa Mwandishi huyo.
Baada ya kufunguliwa wakamfyatulia risasi na kisha wamesema suala hilo ni la bahati mbaya.
Hhivi sasa wamemchukua na wanampeleka hospitali ya Mwananyamala
Baada ya kufunguliwa wakamfyatulia risasi na kisha wamesema suala hilo ni la bahati mbaya.
Hhivi sasa wamemchukua na wanampeleka hospitali ya Mwananyamala