Kifurukutu
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 4,502
- 6,403
Kawaida ya nuksi uchukua si chini ya miaka miwili kupotea maana inatoka kidogo kidogo sasa wew kuwa mpole mpaka iishe na hilo jambo linatokea sana watu malaya yaani ishakuwa ndo majanga yao zaidi ya ukimwi kwao....ila pole jembe
Mkuu subiri punguzo la bei kuanzia tarehe 25!duh sina chakusema acha nigonge kiroba mixer na mbege ngera. naskia mwezi ujao wanavizuia.