Ndumbayeye
JF-Expert Member
- Jan 31, 2009
- 7,333
- 3,896
hata mimi uko
Acha kusingizia mabinti wa watu. Usikute mwenyewe anakupendaje teh!Salamu wakuu
Ni muda sasa nimekuwa nikichunguza kwa upande wangu nimekuja gundua kwamba kuna wanawake ukijaribu kuchepuka nao mwisho wa siku hukuachia nuksi, gundu na mikosi kibao inaweza kukupata mwanaume.
Wanawake wengine wa hukuachia kismati tu, yaani ukitoka nae lazima mambo mazuri tu yakupate mfano utapata pesa nk
Hii imenikuta ni juzi tu siku ya valentine nilipojaribu kuchepuka na mwanamke mmoja hivi alikuwa ananifuatiliaga saaana! Kiukweli huyu mwanamke nachelea kusema kaniachia nuksi sijui ndio gundu au mikosi wakuu, yaaani tu ile siku nimeachana naye nikapata ajari ya bodaboda lakini sikupata majeraha.
Wakuu kibaya zaidi tangu siku hiyo pesa imepotea kabisa mfukoni mwangu!
Aisee huyu dada gundu kabisa. Vipi kwa wanaume wenzangu na hii kitu ishawakuta?
Tuwe makini sio kila mwanamke unayetoka nae atakuachia kismati wengine nuksi mjini hapa
Salamu wakuu
Ni muda sasa nimekuwa nikichunguza kwa upande wangu nimekuja gundua kwamba kuna wanawake ukijaribu kuchepuka nao mwisho wa siku hukuachia nuksi, gundu na mikosi kibao inaweza kukupata mwanaume.
Wanawake wengine wa hukuachia kismati tu, yaani ukitoka nae lazima mambo mazuri tu yakupate mfano utapata pesa nk
Hii imenikuta ni juzi tu siku ya valentine nilipojaribu kuchepuka na mwanamke mmoja hivi alikuwa ananifuatiliaga saaana! Kiukweli huyu mwanamke nachelea kusema kaniachia nuksi sijui ndio gundu au mikosi wakuu, yaaani tu ile siku nimeachana naye nikapata ajari ya bodaboda lakini sikupata majeraha.
Wakuu kibaya zaidi tangu siku hiyo pesa imepotea kabisa mfukoni mwangu!
Aisee huyu dada gundu kabisa. Vipi kwa wanaume wenzangu na hii kitu ishawakuta?
Tuwe makini sio kila mwanamke unayetoka nae atakuachia kismati wengine nuksi mjini hapa
At times nakutamani, mara NakupendaZinaa ni nuksi tu hakuna kingine.
Hii ndio inakua kuniganda sasa.Acha kusingizia mabinti wa watu. Usikute mwenyewe anakupendaje teh!
Wewe sijui ni mpagani wa wapi!! Unaonaje ukijipeleka mwenyewe hospitalini ukapimwe akili? Labda nikuelimishe au kukumbusha hesabu hii ZINAA = DHAMBI = MIKOSI = BALAA = KIFOSalamu wakuu
Ni muda sasa nimekuwa nikichunguza kwa upande wangu nimekuja gundua kwamba kuna wanawake ukijaribu kuchepuka nao mwisho wa siku hukuachia nuksi, gundu na mikosi kibao inaweza kukupata mwanaume.
Wanawake wengine wa hukuachia kismati tu, yaani ukitoka nae lazima mambo mazuri tu yakupate mfano utapata pesa nk
Hii imenikuta ni juzi tu siku ya valentine nilipojaribu kuchepuka na mwanamke mmoja hivi alikuwa ananifuatiliaga saaana! Kiukweli huyu mwanamke nachelea kusema kaniachia nuksi sijui ndio gundu au mikosi wakuu, yaaani tu ile siku nimeachana naye nikapata ajari ya bodaboda lakini sikupata majeraha.
Wakuu kibaya zaidi tangu siku hiyo pesa imepotea kabisa mfukoni mwangu!
Aisee huyu dada gundu kabisa. Vipi kwa wanaume wenzangu na hii kitu ishawakuta?
Tuwe makini sio kila mwanamke unayetoka nae atakuachia kismati wengine nuksi mjini hapa
Sawa mkuu, unayajua yote hayo na bado huwa unayatenda pia!Wewe sijui ni mpagani wa wapi!! Unaonaje ukijipeleka mwenyewe hospitalini ukapimwe akili? Labda nikuelimishe au kukumbusha hesabu hii ZINAA = DHAMBI = MIKOSI = BALAA = KIFO
Angetembeza form zaAfadhali ni mchepuko ingekuwa ndo umemwoa ungesota nae sana.
Kero tu n hzo cm zaoNi kweli mleta mada, Nilishawahi kukutana na demu mmoja wa Ukerewe ana kismati balaa. Unaweza ukamwambia "dah hivi sina nina hali mbaya mfukoni" kisha akakijibu tu "usijali Muharango utapata hela ndani ya Siku 4 au Wiki 1" na kweli nilikuwa napata!.
Pia ninashawahi kupata demu wenye Gundu, hawa mara nyingi ndio wale wanapenda mkae muda wote hata usifanye Kazi, Wana wivu balaa kama Wivu wa Nyegere!, Huwa hawazingatii msahamaha wa mwenzie yaani Wanarundika makosa ya Wenzi wao na Kama uko mbali dah muda wote anawaza unatenda dhambi ya Uzinzi! yaani wanashida hawa acha tu!
Faiza katika ubora wake= balaa
Mkuu ningempiga chini mapema sana!Afadhali ni mchepuko ingekuwa ndo umemwoa ungesota nae sana.