Zinaa ni nuksi tu hakuna kingine.
Bado mvulana, akipevuka ataacha. Msamehe!huyu jamaa ni kilaza sana,sijui ana umri gani,yaani hadi aibu kujua kama ni mwanaume mwenzetu kwa huo utumbo..
No kweli zinaa Ni nuksi hata Kwa wanawake pia Ni hivyo hivyo kulala Na Kila mwanaume unajiletea laana Na mikosi the same apply Kwa wanaume
awashwe .............!!!!!!!!!!!!!!!Hyo ipo kabisa yakubidi ukaoge maji ya mkonge utakasike
tuhakikishie mkuu...........................Siyo kwa wanawake tu... hata kwenye ukoo... kuna koo zingine ukioa au kuolewa hutakaa upate mafaniko kamwe... kuna koo zingine ukioa au kuolewa nid shida mwanzo mwisho... hii pia ipo kwenye nani unatembea nae...
tuhakikishie mkuu...........................
huyu jamaa ni kilaza sana,sijui ana umri gani,yaani hadi aibu kujua kama ni mwanaume mwenzetu kwa huo utumbo..
Unatunyima Uhondo mkuu..................................Siwezi kutaja koo za watu humu... Kuna koo zingine yani ni mafanikio mwanzo mwisho... Kaeni na wazee wenu watawapatia hizo busara na kuepuka kuvamia...
kama kuna kaukwelli hivi!
Unatunyima Uhondo mkuu..................................
si vibaya kuwaeleza wenzio wasiojua mkuu.................Kwa hili utanisamehe sana... siyo vizuri kwanza...
We dogo ngoja nikupuuze tuhuyu jamaa ni kilaza sana,sijui ana umri gani,yaani hadi aibu kujua kama ni mwanaume mwenzetu kwa huo utumbo..
yanapatikani wapi mkuuHyo ipo kabisa yakubidi ukaoge maji ya mkonge utakasike