Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Nimewapata hawa watu wawili wanajua kujibebisha hao balaa.

Huyu mmoja hakunambia/alinificha nimegundua baada ya simu ya usiku mwingi kuleta sauti ya mtoto mchanga. Kwa aibu akakiri kumbe ana kitoto cha miezi miwili!! (dunia hii kua uyaone).

Sasa sio kwa kuniganda huko kila asubuh baby umeamkaje, usiku umelalaje.

Hawa bila shaka enzi zao wkt chuchu zimesimama walikuwa hawakamatiki.
vipi bado unaendelea nae?
 
1. Mwanaume anaeamua kuoa single mother kashakuwa tayari kukabiliana na changamoto zote kutoka kwa mtoto /watoto wa mkewe yupo tayari kuwalisha, kuwasomesha, kuwavalisha na kuwatibia pindi wanapofikwa na maradhi.....

2. Yupo tayari kukabiliana na machungu ya mawasiliano baina ya mkewe na mzazi mwenzie...huu ni urijali na ukomavu wa kifikra wa hali ya juu kwa mwanaume....

3. Mwanaume alikubali kumuoa single mother anakuwa hana wivu wa kijingajinga kwa mkewe maana anajua mkewe alishapitia kwenye mahusiano mbalimbali mpaka kuja yeye kwa hiyo km akitaka kumsaliti hana njia ya kumzuia....

3. Mwanaume huyu anakuwa haogopi ni jinsi gani baba mtoto wa mkewe alivyokuwa ana participate on bed na mkewe kwamba kujiona yeye atakuwa dhaifu kuliko jamaa aliepita kwa maana hiyo anajiamini

4. Mwanaume wa Karba hii haogopi madongo na mashambulizi yoyote kutoka kwa mzazi mwenzie wa mkewe pindi pale inapotokea mzozano baina ya mkewe na mzazi mwenzie yeye anauwezo wa kuingilia kati na kuyamaliza na mwanaume mwenzie (baba mtoto /watoto) kistaarabu....

5. Mwanaume alikubali kuoa single mother anakuwa sio mbea na kukaa vijiweni maana anaogopa atakandiwa na wenzie so anakuwa busy na maisha yake na wala humkuti akiwasemasema ma single mother kwani yeye mwenyewe anae ndani.....

Naomba niishie hapa

NOTE
Mimi kama mwanaume wa kweli rijali siku moja nilimkuta manzi wangu ambae ni single mother amenuuna vibaya kuja kumuuliza nini tatizo akaniambia amegombana na baba nanihii kisa alimpigia simu na kumlaumu mzazi mwenzie kwanini hampigii simu kumjulia hali mwanae....wakaanza kukorofishana na jamaa kutupia maneno machafu kwahiyo manzi akawa na hasira sana ikabidi mi nimpoze kwa maneno mazuri kwa kweli iliniuma saana ila nitafanyaje na moyo ulishakuwa kwake, ila mpaka sasa tumeshaachana na ninampango wa kuingia kwa single mother mwengine maana najua utamu wao wanakuwa watulivu sana ktk maisha sio km hawa watoa mimba nadhani wanakuaga na laana ya vile vitendo vya abortion wanavyovifanya huwa siwaelewi kabisa na huwa sidumu nao km hawa single mother

NB
Wanaume wenzangu marijali tusiwakejeli hawa Dada zetu single mother ni wazuri sana kwenye maisha achaneni na hawa wachoropoaji hawana uchungu kabisa
Ni single mothers tena
 
Urijali hewa.Single mother ni rahisi kuchepuka balaa. Hawajui kusema sitaki. Ukitaka kuona wewe Rijali oa Bibi kizee. Maana haangaiki tena
 
1. Mwanaume anaeamua kuoa single mother kashakuwa tayari kukabiliana na changamoto zote kutoka kwa mtoto /watoto wa mkewe yupo tayari kuwalisha, kuwasomesha, kuwavalisha na kuwatibia pindi wanapofikwa na maradhi.....

2. Yupo tayari kukabiliana na machungu ya mawasiliano baina ya mkewe na mzazi mwenzie...huu ni urijali na ukomavu wa kifikra wa hali ya juu kwa mwanaume....

3. Mwanaume alikubali kumuoa single mother anakuwa hana wivu wa kijingajinga kwa mkewe maana anajua mkewe alishapitia kwenye mahusiano mbalimbali mpaka kuja yeye kwa hiyo km akitaka kumsaliti hana njia ya kumzuia....

3. Mwanaume huyu anakuwa haogopi ni jinsi gani baba mtoto wa mkewe alivyokuwa ana participate on bed na mkewe kwamba kujiona yeye atakuwa dhaifu kuliko jamaa aliepita kwa maana hiyo anajiamini

4. Mwanaume wa Karba hii haogopi madongo na mashambulizi yoyote kutoka kwa mzazi mwenzie wa mkewe pindi pale inapotokea mzozano baina ya mkewe na mzazi mwenzie yeye anauwezo wa kuingilia kati na kuyamaliza na mwanaume mwenzie (baba mtoto /watoto) kistaarabu....

5. Mwanaume alikubali kuoa single mother anakuwa sio mbea na kukaa vijiweni maana anaogopa atakandiwa na wenzie so anakuwa busy na maisha yake na wala humkuti akiwasemasema ma single mother kwani yeye mwenyewe anae ndani.....

Naomba niishie hapa

NOTE
Mimi kama mwanaume wa kweli rijali siku moja nilimkuta manzi wangu ambae ni single mother amenuuna vibaya kuja kumuuliza nini tatizo akaniambia amegombana na baba nanihii kisa alimpigia simu na kumlaumu mzazi mwenzie kwanini hampigii simu kumjulia hali mwanae....wakaanza kukorofishana na jamaa kutupia maneno machafu kwahiyo manzi akawa na hasira sana ikabidi mi nimpoze kwa maneno mazuri kwa kweli iliniuma saana ila nitafanyaje na moyo ulishakuwa kwake, ila mpaka sasa tumeshaachana na ninampango wa kuingia kwa single mother mwengine maana najua utamu wao wanakuwa watulivu sana ktk maisha sio km hawa watoa mimba nadhani wanakuaga na laana ya vile vitendo vya abortion wanavyovifanya huwa siwaelewi kabisa na huwa sidumu nao km hawa single mother

NB
Wanaume wenzangu marijali tusiwakejeli hawa Dada zetu single mother ni wazuri sana kwenye maisha achaneni na hawa wachoropoaji hawana uchungu kabisa

Kwa maana hiyo sina sababu ya kuwa rijali na kuonyesha ukomavu.
 
Aliemzalisha na kumporomosha maziwa kwa nini asimuoe? Single maza ni rahisi kuwapata hawakatai wameshafeli
 
Kipindi unasoma au unatafuta kazi yeye anafanya mapenzi na kula bata akizalishwa na kutelekezwa wewe umfate umfute machozi? Kila mtu abebe mzigo wake
 
Mbona na wewe umeyaleta ya single mother's sasa? Hicho ni kihere here au unajifunza kuanzisha Uzi ?
Wacha kiherehere maana tuna kama miezi zaidi ya mi2 hizo mada hazipo....na aliyekwambia tunajuta ni nani? Kwani tulishakuja humu kuwaomba child support?!/

Acha hizo kijana..
 
Hivi ukiuziwa ng'ombe halafu ukapewa na ndama wake si faida kwako? Single mother ni wanawake tu kama wengine. Faida ni kuwa wameshapevuka kiakili. Hawasumbui issue za kila siku club, iphone 7 sjui takataka gani.

Kama ni mcharuko ni mcharuko tu kama hata watoa mimba walivyo. Angalia mapenzi yake kwako na kama unampenda kisawasawa. Pia kama hana mahusiano au yupo tayari kuachana mazima na mwenza wa awali.

Mbona kuna wanaooa ambao hawajazalishwa halafu wanauza mechi nje balaa? Unaweza kukuta ndani ya ndoa kati ya watoto watatu mmoja tu ndio biological father wa mume.
 
Mbona na wewe umeyaleta ya single mother's sasa? Hicho ni kihere here au unajifunza kuanzisha Uzi ?
Wacha kiherehere maana tuna kama miezi zaidi ya mi2 hizo mada hazipo....na aliyekwambia tunajuta ni nani? Kwani tulishakuja humu kuwaomba child support?!/

Acha hizo kijana..
Kwa taarifa yake watu wengine are proud of being sigo maza.....kukaa nawanaume wengine ni nukx %kubwa wanalia kimya kimya kwenye ndoa hawana pakukimbilia eti wanaogopa jamii kuwashangaa kwakushindwa ndoa, wanatamani kua bora masingo maza kuliko kufa kimyakimya bigup singo maza wanao jitambua
 
Back
Top Bottom