Mwanaume wangu anajua haswa na mwanaume mwingine ananiambia usiniache nitakunulia gari simpendi hata kidogo sasa hivi.nifanyeje
Mwanaume wangu anajua haswa na mwanaume mwingine ananiambia usiniache nitakunulia gari simpendi hata kidogo sasa hivi.nifanyeje
Mtandao wa ngonoMwanaume wangu anajua haswa na mwanaume mwingine ananiambia usiniache nitakunulia gari simpendi hata kidogo sasa hivi.nifanyeje
Well Said Kaka Asprin na mzabzab, sasa akina Lily Flower sweetlady, Emma ITEGAMATWI, , BelindaJacob , Kongosho mwaJ , Preta MadameX Gerrard MESTOD BADILI TABIA, Asulo Bajabiri, Tram Almasi Na wengine weeengiI Like this. Na kuna mtu anaitwa Bramo, akiiona hii post lazima aisindikize na LIKE!
Gari ni uchawi kwa wanawake!
yalaaaaaaa.....nilikuwa nasema mie gari kisu cha kuchinjia wanawake. mfano ndio kama huu. sasa demu hampendi jamaa lakini kwa kuwa kahaidiwa gari basi ilisha anza kuthink possibility ya kumkubalia.
Bramo ndugu yangu tatizo wewe uli generalise kwa wanawake wote ili hali ulikuwa na sample yako ndogo ya wale uliokuwa unawapigisha story kisha wanapanda lift yako. Huyo nae anaonekana ni kati ya wale materialists. Wale wanaokuwa na mtu kwa sababu ya mali alizonazo au kwa sababu atapata pesa na mali fulani. Na ndio sababu anaomba ushauri maana anatamani hilo gari na sio huyo mwanaume.Well Said Kaka Asprin na mzabzab, sasa akina Lily Flower sweetlady, Emma ITEGAMATWI, , BelindaJacob , Kongosho mwaJ , Preta MadameX Gerrard MESTOD BADILI TABIA, Asulo Bajabiri, Tram Almasi Na wengine weeengi
Bila kusahau wale wooote walionoshambuliwa kwenye https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/313156-dada-zetu-na-lift.html, Waje na hapa
Don't talk behind his back ,show love cause love is the best gift you can give to your partner it's free
Don't worship
You can have everything but your choice of who you marry will determine your happiness and good life .some partners are thieves ,murders,closeted gay ,witchdoctors,greedy,shopalcoholic,
Well Said Kaka Asprin na mzabzab, sasa akina Lily Flower sweetlady, Emma ITEGAMATWI, , BelindaJacob , Kongosho mwaJ , Preta MadameX Gerrard MESTOD BADILI TABIA, Asulo Bajabiri, Tram Almasi Na wengine weeengi
Bila kusahau wale wooote walionoshambuliwa kwenye https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/313156-dada-zetu-na-lift.html, Waje na hapa
LOH!! Gari ndio ikutoe thamani yako mwanamke?!! Fanya kazi kwa bidii muombe Mungu utanunua kabla hujafikiria gari fikiri mko wangapi? Tulizanaaaaaaaaaaaaa utamuua mkaka wa watu huyo unaemuita wako kumbe c wako unampotezea muda tu na pengine anayetaka kukuhonga gari ni mme wa mtu, kula vyawenzio na vyako vitaliwa na istoshe huyo wako pia kamuhonga mwingine gari ndio maana wewe hunaMwanaume wangu anajua haswa na mwanaume mwingine ananiambia usiniache nitakunulia gari simpendi hata kidogo sasa hivi.nifanyeje