AhahahahahahahahaVipi mwanangu anaendeleaje huko?
Kweli mwanangu uko serioucsafi.Mimi mfupi ila maji ya kundeView attachment 1736658
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Vipi mwanangu anaendeleaje huko?
Mimi ni Msomali na umri wangu ni 22,,Vipi sifai?Natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu. Namaanisha kbsa.
Nahitaji mwanaume mwenye sifa zifuatazo na hii ni kwaajili ya kunipa mimba tu baada ya mimba sitahitaji tena mawasiliano nae, mtoto atakaye zaliwa atakuwa wa kwangu 100%.
Naweza kumlipa ili asinifuate tena.
Sifa zake
Mrefu, Maji ya kunde.
Mume wa MTU
Miaka 34 nakuelendelea
Mwenye uwezo wa kutungisha mimba
Kabila lolote kasoro, mzalamo, mkurya, muhaya, muha , mnyaturu, mpare, mnyakyusa, mnyamwezi na mgogo.
Zingatia kazi ni moja kunipa mimba baada ya mimba kila mtu anashika uelekeo wake.
Anayejiona anasifa karibu pm.