Mwanaume wa kuishi naye, mtu mzima anatakiwa

Awe 40 to 50
Christian
Awe anaishi Ubungo au Kinondoni
Awe tayari kuishi pamoja

Mimi mwanamke mtu mzima
40 yrs
No kids
Christian
Naishi Ubungo
Dada Kwani huwezi kuja kuishi huku Dodoma ?
Kama unaweza nipm nikuunganishe na babu yetu ni mstaafu was jeshi tangu mwaka 2015 yupo yupo tu anasubiri kufa maana pesa yote ya kiinua mgongo alikunywa pombe Sasa hivi Hana kitu na pia hana mke maana mkewe Alishakufa
 
Dada Kwani huwezi kuja kuishi huku Dodoma ?
Kama unaweza nipm nikuunganishe na babu yetu ni mstaafu was jeshi tangu mwaka 2015 yupo yupo tu anasubiri kufa maana pesa yote ya kiinua mgongo alikunywa pombe Sasa hivi Hana kitu na pia hana mke maana mkewe Alishakufa
Kkkk umenifurahisha kwei kwei mwanangu
 
Awe 40 to 50
Christian
Awe anaishi Ubungo au Kinondoni
Awe tayari kuishi pamoja

Mimi mwanamke mtu mzima
40 yrs
No kids
Christian
Naishi Ubungo
Naishi Ubungo lakini Ubungo hapa Rhombo kama unaenda Kimara zamani nilikaa Kinondoni Moscow. Sasa unataka ubungo gani.
 
Hata nikisema Nihame nilipo niende Ubungo au Kinondoni Bado Kigezo cha Umri kinanikataa
 
Awe 40 to 50
Christian
Awe anaishi Ubungo au Kinondoni
Awe tayari kuishi pamoja

Mimi mwanamke mtu mzima
40 yrs
No kids
Christian
Naishi Ubungo
40 ..no kids .


Naomba UniPM , kuna mambo nayohitaji kuyajua, usiseme umeshahangaika sana .

Nikuombe Usichoke, Naomba UniPM, tuulizane maswali machache tu.

Ikipendeza Mungu atasaida.
 

Similar Discussions

14 Reactions
Reply
Back
Top Bottom