COARTEM
JF-Expert Member
- Nov 26, 2013
- 3,596
- 3,639
Ni aibu iliyoje mtu unampa mimba mkeo au hawara yako kwa starehe zenu halafu unashindwa kuandaa mahitaji (vitu) ya/vya mama kujifungulia angalau elfu 50 tu ndani ya miezi 9 ya mimba.
Cha ajabu mtu huyo siku mtoto akitimiza siku 40 na anataka kumtoa nje atafanya sherehe ya Tshs laki 5 kwa ajili ya mtoto huyo. Hivi hizi ni akili au matope?
Hebu tubadilike jali mkeo au hawara yako uliyempa hiyo mimba. Tena wengine hizo mimba zimetungiwa Guest house ( chumba elfu 20, mkala chips kuku za elfu 10, ukampa hela ya sabuni elfu 20 kwa siku hiyo). Hivi kilawiki ukiamua kuweka akiba ya shilingi elfu 10 mpaka wiki 42 si utakuwa na shilingi laki 4? Kweli utashindwa kumhudumia mkeo mahitaji muhimu ya kujifungulia Hospitali? Aibu. Wanaume tubadilikelike
Sent using Jamii Forums mobile app
Cha ajabu mtu huyo siku mtoto akitimiza siku 40 na anataka kumtoa nje atafanya sherehe ya Tshs laki 5 kwa ajili ya mtoto huyo. Hivi hizi ni akili au matope?
Hebu tubadilike jali mkeo au hawara yako uliyempa hiyo mimba. Tena wengine hizo mimba zimetungiwa Guest house ( chumba elfu 20, mkala chips kuku za elfu 10, ukampa hela ya sabuni elfu 20 kwa siku hiyo). Hivi kilawiki ukiamua kuweka akiba ya shilingi elfu 10 mpaka wiki 42 si utakuwa na shilingi laki 4? Kweli utashindwa kumhudumia mkeo mahitaji muhimu ya kujifungulia Hospitali? Aibu. Wanaume tubadilikelike
Sent using Jamii Forums mobile app