Mwanaume wa dar ametuchekesha sana leo

"Ndongo" ndio nini weyee mwanaume wa Dar?

Na huyu anakojoa akiwa amechutama?

View attachment 526562
Pia sisi ni wasafi, na watafutaji pia, ndio maana uchumi wa Tanzania tunaumiliki sisi! Kwa kuongezea ni kuwa tunaishi kisasa ndio maana kila ndoto za mtanzania yeyote timamu moja ya ndoto zake ni kufika dar ndio maana sisi ni kivutio cha wasomi kama wewe msomi na hujawahi kufika dar basi course yako bado hujaikamilisha.
 
Tatizo kuna wanaume wenzetu waliuliza mara NANI KAKUTEUA..?? Ukishaweka mwisho "question mark" maana yke wewe ni mwanamke. Jamaa akaona sio kesi. Akasepa. Na bado uzi unajaa maswali ya wanaume. Uzi tuwaachie wadada. Tumpuuze...!!!

Heri mimi hata sikufungua kuusoma, maana niliuona dizaini kama wa makapuku forum vile.
 
Jinga kabisa wewe kwanza unajua mbuzi anavyokojoa? Jike na dume

Hapo tayari umeongea kitu usichokijua

Na kama wewe unakojoaga kwa kuchuchumaa itakua una kitobo sio mrija tulionao wanaume wengine

Kaaa pembeni kabisa beba na handbag yenye tishu na mwisho wa mwezi usisahau safari yako ya Apollo.

Usirudie tena kutudhalilisha wa mkoani
Pia watu wamikoani wana sifa ya kukurupuka sanay na mihemko mingi sana.
Huyu mwanaume mpuuzi kabsa
 
Inabidi wanaume wenzake wakaokoe jahazi!!walikua wanapima upepo hahaa
 
Jibu. Kukojoa ukiwa umesimama ni sifa ya hayawani nikimaanisha mbwa , ng'ombe,mbuzi n.k! Binadamu mwenye akili anakojoa akiwa amechuchuma ili kuepusha mkojo kumrukia kwenye mavazi yake, na pia akimaliza anajisafisha kwa maji ikiwa haja ndongo au kubwa! Lakini wanaume wa mikoani wanatembea na kinyesi na mikojo kwenye mavazi yao.
Wambie hao ndugu zetu jamii yawafugaji.
 
Sijui kwanini wanaume wa Dar wanakojoaga mkojo wakiwa wamechuchumaa
Haya matusi sasa. Kumbuka hata rais wako anaishi Dar na mashababi wote tuko Dar sasa unapotaka kugeneralise mambo haya siyo fresh kabisa. Huku sisi tunagonga tu awe wa hapahapa au aje wa bara au lije punga tunakung'uta tu. Habari iko namna hiyo msituchukulie poa
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom