Behind the camera
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 315
- 740
Ukiachana na wale wenzetu ambao wamesomea elimu ya kupika Vyakula mbali mbali, kuna sisi wapenda kula lakini kupika mtihani.
Leo nimejiskia kupika firigisi na ugali. Sema hapa kwenye firigisi najiona kabisa nimechemka
Aisee mpaka nimemkumbuka mama watoto aliyekwenda kujifungua huko mkoani Tanga.
Chakula gani ewe baba/kaka/baby
Kinakusumbua kupika? Au ni mwenzangu na mimi?
Leo nimejiskia kupika firigisi na ugali. Sema hapa kwenye firigisi najiona kabisa nimechemka
Aisee mpaka nimemkumbuka mama watoto aliyekwenda kujifungua huko mkoani Tanga.
Chakula gani ewe baba/kaka/baby
Kinakusumbua kupika? Au ni mwenzangu na mimi?