elishaezekiel
JF-Expert Member
- Oct 16, 2016
- 563
- 1,461
Maisha ni Kubalance mambo
Mix Little care with little pain
Usiwe Dont care sana to the maximum huo nao ujinga tuu
Na usiwe caring sana huo nao ni Ulofa
Jijali na wewe wajali na wao kidogoo kwa namna fulani ili uonekane social
Tafuta BALANCE ya mambo
Virtue is in the middle,Plato.
Avoid EXCESS
Avoid DEFICIENCY
BALANCE mambo, usiwe mjinga na usiwe Mjuaji yote ni mapungufu
Wahuni wanasema Kubalance Shobo!
Na pia Siyo kila Mwanamke atakukubalia na Siyo kila Mwanamke atakukataa kama ambavyo huwezi kuwa na amani na Watu wotee.
Mfano P square wakikwenda kuperfom Kwenye nchi moja ipo huko West Africa sasa kwa namna walivyokua wanahit wakajua basi wanaweza kupata Demu yoyote wanaemtaka
Peter akamuona dada mmoja kwenye Crowd baada ya Show akamuapproach yule manzi lakini cha kushangaza manzi akamchana za uso
Manzi alikua na msela wake wa kawaida ambaye alikua anamuelewa sana,
Peter akaambiwa, “ just because you are famous and rich don’t think that you can sleep with any girl you want” na manzi akasepa na msela wake!
Hivyo Siyo Wote watakuelewa ila cha msingi Balance Shobo usiwe Alpha Sana wala usiwe Beta sana zaidi utawachukia wanawake bure!
Mix Little care with little pain
Usiwe Dont care sana to the maximum huo nao ujinga tuu
Na usiwe caring sana huo nao ni Ulofa
Jijali na wewe wajali na wao kidogoo kwa namna fulani ili uonekane social
Tafuta BALANCE ya mambo
Virtue is in the middle,Plato.
Avoid EXCESS
Avoid DEFICIENCY
BALANCE mambo, usiwe mjinga na usiwe Mjuaji yote ni mapungufu
Wahuni wanasema Kubalance Shobo!
Na pia Siyo kila Mwanamke atakukubalia na Siyo kila Mwanamke atakukataa kama ambavyo huwezi kuwa na amani na Watu wotee.
Mfano P square wakikwenda kuperfom Kwenye nchi moja ipo huko West Africa sasa kwa namna walivyokua wanahit wakajua basi wanaweza kupata Demu yoyote wanaemtaka
Peter akamuona dada mmoja kwenye Crowd baada ya Show akamuapproach yule manzi lakini cha kushangaza manzi akamchana za uso
Manzi alikua na msela wake wa kawaida ambaye alikua anamuelewa sana,
Peter akaambiwa, “ just because you are famous and rich don’t think that you can sleep with any girl you want” na manzi akasepa na msela wake!
Hivyo Siyo Wote watakuelewa ila cha msingi Balance Shobo usiwe Alpha Sana wala usiwe Beta sana zaidi utawachukia wanawake bure!