mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,760
- 35,205
- Thread starter
- #101
πππππππππππMbona wameshaanza kujitetea mda sanaπ π
Umesahau zile kauli za kuwa wanawake wanapenda fweza..mdogomdogo nafikiri watafika kwa mzee Abdu
nimecheka sana hahahahaaa
Wale wanaolalamika kwamba wanawake wanapenda fweza kwanza kabisa ijulikane ni wale wasiotunza wanawake wao bila kukumbushwa.... Nina uhakika hawajui wao ni kina nani na walipewa majukumu gani kiimani na kiasili
Ila Chakorii tuache utani hakuna mwanaume au mume mwenye raha na amani kama yule anayetimiza wajibu wake bila kukumbushwa na kuombwa