misstrace
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 649
- 1,483
Shosti yangu fulani aliniaga Wiki iliyopita anasafiri nje ya Mkoa, anamfwata shemeji yangu ambaye wameanza mahusiano miezi michache iliyopita.
Shosti alijiandaa akijua kule lazima Jamaa agonge muhuri maana hawajawahi tangu wajuane.
Leo kaja kunitembelea ndo kunijuza siku zote alizokuwa huko hakuna kilichofanyika, zaidi jamaa alikuwa anaishia kumkumbatia tu, siku ya mwisho kaamua kumtega na pichu tu jamaa kakausha ila dude unaona kabisa limeamka.
Nimebaki najiuliza inawezekana kweli kweli aliyekamilika akakuacha siku zote hizo bila kukugusa ? Au jamaa kuna kitu hakiko sawa ?
Shosti alijiandaa akijua kule lazima Jamaa agonge muhuri maana hawajawahi tangu wajuane.
Leo kaja kunitembelea ndo kunijuza siku zote alizokuwa huko hakuna kilichofanyika, zaidi jamaa alikuwa anaishia kumkumbatia tu, siku ya mwisho kaamua kumtega na pichu tu jamaa kakausha ila dude unaona kabisa limeamka.
Nimebaki najiuliza inawezekana kweli kweli aliyekamilika akakuacha siku zote hizo bila kukugusa ? Au jamaa kuna kitu hakiko sawa ?