Mkuu vipi na ww huwa unalamba?Hakuna kosa hapo wa la ushamba hakuna. Wewe unayetembea unakunywa bia , soda au kiroba au unayetembea ukila Muhindi wa kuchoma kuna tofauti gani. Kila mtu ana uhuru wa kufanya anachopenda ili mradi asimkere mwezake sasa kama wewe unakerwa kwa kuona mwanaume analamba icecream basi ujue una matatizo.
Hazijaandikwa wala kutengenezwa kwaajili ya wanawake.... Hata huku Arusha wanazilamba sana pamoja na Baridi hii.... 21'C
Kha!!!!!!
Hizi tuhuma zinakwenda moja moja kwenu wanaume wa Dareselama...
Hii tabia ya kulamba chocolate imekaaje? yani nauliza kidume na mindevu yako umeng'ang'ana na chocolate inakuaje yani..
Hii tabia inezidi sana Dar mpaka inakera aisee, habari ya kulamba lamba muwaachie wanaopaswa kufanya hivyo... Mnatuaibisha vidume wa kweli.
Kha!!!!!!
Hizi tuhuma zinakwenda moja moja kwenu wanaume wa Dareselama...
Hii tabia ya kulamba chocolate imekaaje? yani nauliza kidume na mindevu yako umeng'ang'ana na chocolate inakuaje yani..
Hii tabia inezidi sana Dar mpaka inakera aisee, habari ya kulamba lamba muwaachie wanaopaswa kufanya hivyo... Mnatuaibisha vidume wa kweli.
Siwez kulambwa na mwanaume wenzangu akati wanawake wamejaa, hiyo biashara kama ndo unaitangaza kwa staili hii basi umekwama.... Mim nawageuza wanawake sio wanaumeyawezekana usemacho ni sahihi ila mwanaume kumchunguza mwanaume mwenzio huo nao ushoga!!!Fanya maisha yako au ulitaka akulambe...a$$!!!nyambafuuuuu
Tunakula ugali dona na Nyama Porii shambanikama wanaume wa Dar wanalamba chocolate na nyie wamikoani mnalamba **** au
Muraaa eti huyu ni mwanaume?wewe unadhani mwanaume kama huyu anashindwaje kulamba chocolate au ubuyu??
Kuna vitu Vya kitoto Vya kiume na Vya kike...haijalishi unatumie Pesa yako...ukifanya vitu Vya kitoto wakati we we ni MTU mzima jamii itakushangaa na pia ukifanya vitu Vya kike wakati we we ni dume lazima wanaume tukushangae..huo ndio ukweli...Acheni wivu wanaume wa mikoani. Unajua maisha haya kila mtu ana jinsi anavyoyaishi, na kila mtu anaishi kwa kutenda aonavyo yeye. Sasa wewe utoke huko utokapo na uanze kumpangia mtu jinsi ya kuishi utakua ni punguani, tena kumpangia mtu jinsi ya kutumia vitu ambavyo anaspend pesa yake aliyoipata kwa jasho lake, how come?
Kuna vitu hata mtu akifanya bado havimuongezea wala kumpunguzia au kumuondolea uanaume wake.
Akila ice cream njiani je atakua sio mwanaume tena? Je na wewe usiyekula njian au kula kabisa na kula ubuyu utakua mwanaume zaidi ya yule mwingine??
Kuishi ni maisha, na maisha ni kuishi. Mind your own business folks
Wawapi we we?pumba ya kiwango cha makinikia....Mambo Yote Unayoyajua Ww Huko Uliko, Yametokea Dar. Licha Ya Kumuandama Mwanaume Wa Dar Na Chocolate Zake Lkn Bado Akija Huko Mikoani Likizo Huku Anatembea Na Kulamba Chocolate Zake Madem Zenu Mnawafungia Ndani, Au Mkimuona Anawapa Hi Tu Madem Zenu Mnanuna. Msikariri Maisha Enyi Wanakijiji Au Mnataka Hadi Mumuone Diamond Wenu Kwenye TV Anakula Ndo Na Nyinyi Mikoani Muanze Kula? Vyote Unavyoviona Huko Vimeanzia Dar, So Uctake Kumulika Watu Walio Kwenye Mwanga Wkt Ww Upo Gizani, Suburi Wkt Wenu Bado Na Utakapoanza Na Ww Kulamba Utaikumbuka Hii Post.
Kwa hiyo kula icecream na ubuyu ni mambo ya kike na ya kitoto?Kuna vitu Vya kitoto Vya kiume na Vya kike...haijalishi unatumie Pesa yako...ukifanya vitu Vya kitoto wakati we we ni MTU mzima jamii itakushangaa na pia ukifanya vitu Vya kike wakati we we ni dume lazima wanaume tukushangae..huo ndio ukweli...
Sent using Jamii Forums mobile app