uungwana classic
JF-Expert Member
- Jun 9, 2014
- 2,324
- 2,079
Hujawahi kukaa katikati ya wazazi wakati mnapata chakula uone raha unayoipata unapowaona wazazi wako wakiwa pamoja ndo maana unaongea hili,ndoa ina raha yake bhana ni mambo yakiendaga vibaya basi yaani ukikosea ndo utaona machungu yake, lakin huwezi kuogopa kukosea hautaweza kuinjoy hii dunia ukiogopa kukosea