BansenBurner
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,812
- 5,764
Ni kweli ila siku hizi wale ambao unatoka nao chini wamebadilika pia na hata wale uliowakuta nazo pia hashikiki.. Muhimu ni kummpata mwenye hofu ya Mungu na kutembea kiuhakika na Mungu mengine yatafuata
Umachepele wake siujui m nasema mwanamke mwenye mawazo kama hayo..ni adimu sanaSasa mbona huyo Nadia mwenyewe 'full machepele'?
Ikulu ipi hyo? She's Ghanian actressanaongea tu vile yupo ikulu
nikadhani mtoto wa mkulu wa nigeria mkuuIkulu ipi hyo? She's Ghanian actress
Inatokea lkn it's better mkachuma pamoja hua inafanya mna stuck in love for long na kuheshimiana. Amna kitu kizuri kama kutafuta pamoja sio uvikiteHahaha we've heard of so many cases za dame anachuma mali na bwanake at the end the guy anazingua...it's better mue kune almost level sawa...
Umachepele wake siujui m nasema mwanamke mwenye mawazo kama hayo..ni adimu sana
labda ni nature yao kuwa hivo walivyo"wanawake wote huongea busara
tatizo mioyoni mwao ni tofauti
Wanaokua stuck mostly ni sisi women....but as for you guys mnakua big headed after kua successful ...kusaab no woman says no to a successful man...bila kujali hizo mali umechuma na mwenzio from the scratch af we unaenda kutanua na wanawake wengine...Inatokea lkn it's better mkachuma pamoja hua inafanya mna stuck in love for long na kuheshimiana. Amna kitu kizuri kama kutafuta pamoja sio uvikite