_aysher
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 1,131
- 942
Nakubaliana na wewe mkuu kumbadili mtu sio kazi rahisi,Wengi huamini hivo kua naweza mbadilisha lkn mwisho wa siku wanajuta" kuna vitu vitachange lkn sio vyote.
Kama kuna wengne huamini akishamtia mimba msichana kamaliza hana ujanja tena..
Ase sio hawa wasikuhiz