kyanyangwe
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,147
- 2,745
1. Uhasibu
2. Bank
3. Urubani
4. Udaktari
5. Uaskari
6. Mfanyabiashara
2. Bank
3. Urubani
4. Udaktari
5. Uaskari
6. Mfanyabiashara
Hapo itapendwa kazi sio wewe1.uhasibu
2.bank
3.urubani
4.udaktari
5.uaskari
6.mfanyabiashara
🤔🤔🤔🤔😂😂😂😂Labda watakaoanza kuzaliwa kesho.Waliopo sijawahi kuwaamini.Halafu,unatafuta kupendeka ili?1.uhasibu
2.bank
3.urubani
4.udaktari
5.uaskari
6.mfanyabiashara
Saluni1.uhasibu
2.bank
3.urubani
4.udaktari
5.uaskari
6.mfanyabiashara
Sio kweli, mwanamke hajali unafanya kazi gani, anachojali uwe na cash tu, hata kama wewe ni jambazi utapendwa mpaka ukome!1. Uhasibu
2. Bank
3. Urubani
4. Udaktari
5. Uaskari
6. Mfanyabiashara
Safi sana Kelsea, waambie hao.Hela ndio ya msingi na sio aina ya kazi.
Salaam mkuuWauza chips
Bodaboda
Mameneja wa bar
Wamiliki wa gesti..
Maofisa mikopo .
Waajiri..
Madereva taxi..
Wauza nguo za kike ..
Wapambe WA wenye nyumba za kupangisha...
Orodha ndefu tu
Yani umesema kweli 🤣🤣Na ukitaka mwanamke akutimue, mwambie wewe ni mwalimu au mkulima.
Kwa sabb suma hua mna visebengo sanaMbona Mimi ni askari wa Suma JKT lakini hawanipendi?
Mzima .. mrembo...upo?