GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,542
- 108,852
Mwanamke ambaye ameshakula sana Pesa yako na pia amekusumbua mno tena kwa Makusudi kabisa halafu Siku ' ukamtega ' vilivyo na akaja ' Maghetoni ' Kwako ukijua fika kuwa hiyo ndiyo Siku pekee tu ya Wewe ' Kumbandua ' lakini wakati ukitaka ' Kumuingilia ' akakuambia kuwa Bahari yake Nyekundu ( Red Sea ) imeanza Kuchafuka ( namaanisha ameanza Kublidi / Kuwa Hedhini )
Je, utasitisha Zoezi huku ukijua kabisa kuwa hutompata tena au ' utajilipua ' tu na ' Kumbandua ' hivyo hivyo akiwa anatumika? Na je, kuna dhambi yoyote ya Kidini achilia mbali ile ya Kitabibu kuwa Mwanamke akiwa hivyo hatakiwi ' Kubanduliwa ' na Mwanaume? Na je, madhara makubwa ya Kiafya ukimuingilia unayapata Siku hiyo hiyo au labda ukiwa unafanya hivyo mara kwa mara? Na je, Mwanamke akiwa hivyo na ' Ukimbandua ' huwa anasikia Utamu Kunoga na Raha iliyotukuka kama akiwa hatumiki / hayupo Hedhini?
Jibu lako la haraka juu ya hili ni muhimu sana tafadhali.
Je, utasitisha Zoezi huku ukijua kabisa kuwa hutompata tena au ' utajilipua ' tu na ' Kumbandua ' hivyo hivyo akiwa anatumika? Na je, kuna dhambi yoyote ya Kidini achilia mbali ile ya Kitabibu kuwa Mwanamke akiwa hivyo hatakiwi ' Kubanduliwa ' na Mwanaume? Na je, madhara makubwa ya Kiafya ukimuingilia unayapata Siku hiyo hiyo au labda ukiwa unafanya hivyo mara kwa mara? Na je, Mwanamke akiwa hivyo na ' Ukimbandua ' huwa anasikia Utamu Kunoga na Raha iliyotukuka kama akiwa hatumiki / hayupo Hedhini?
Jibu lako la haraka juu ya hili ni muhimu sana tafadhali.