kookaburra
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 563
- 1,409
Hafanyi vitendo vya kishoga, ni mavazi tu
Mwanzo aliishi kama wanaume wengine kwa kawaida za kiume.
Kipindi cha vita vya wenyewe kwa wenyewe ilibidi avae mavazi ya kike ili asigundulike kuwa ni mwanamme kwani ilikuwa wanaume waliuawa zaidi kuliko wanawake.
Ameipenda hali yake maana zaidi ya kuvaa kike sasa mienendo yake yote ni ya kike,ikiwa ni kutembea, kuongea na kujilegeza.
Wananzengo walishangaa ila wamemzoea maana ni miaka 25 ya mageuzi.
Mytake: amelendemka kuliko hata wenye gender yao🙌