Mwanaume na Kujichekesha chekesha!

Masanilo

Platinum Member
Oct 2, 2007
22,286
4,493
Wapwazi na mabinamu wa kweli! Niwieni radhi nimezama kwenye jukwaa la Siasa na Uchanguzi kwa maslahi ya taifa na kizazi kijacho. Nimeamua kurudi kwa muda nyumbani. Nisaidieni hivi kwanini baadhi ya wanaume wanapenda kucheka cheka bila hata sababu ya msingi?

Una mpa issue ya maana kwanza yeye anacheka na kujichekesha hili ni tatizo ama kitu gani? Je ni turufu kwenye kujenga mahusiano na warembo wadada?

Msaada!
 
Anakuchekea mwanaume mwenzake au una maana gani?
Kama anajichekesha kwa wanaume wenziwe ujue huyo si rizki! Kama anajichekesha wa wasichana basi huyo ana soni za kijinga.Hajiamini.
 
Kuna jamaa wakati mpata kilauri, ukinyanyuka tuu kwenda msalani kwa haja ndogo, tayari na yeye yupo nyuma,
Si unajua sehemu ya Adamu mnakuwa mmejipanga kamstari flani.

Sasa jamaa na yeye anajifanya kujisaidia huku anachekacheka na macho yote kayaelekeza kwenye fimbo yako
Hii hasara kabisa, haangalii hata anapomwaga maji yake
 
Wapwazi na mabinamu wa kweli! Niwieni radhi nimezama kwenye jukwaa la Siasa na Uchanguzi kwa maslahi ya taifa na kizazi kijacho. Nimeamua kurudi kwa muda nyumbani. Nisaidieni hivi kwanini baadhi ya wanaume wanapenda kucheka cheka bila hata sababu ya msingi? Una mpa issue ya maana kwanza yeye anacheka na kujichekesha hili ni tatizo ama kitu gani? Je ni turufu kwenye kujenga mahusiano na warembo wadada?

Msaada!

Hiyo ni tabia tu bwana mchungaji mi cdhani kama inamaana tofauti na jinsia yake
 
Mchungaji hapa unasaka waumini?

Hapana kiongozi ! Natatizwa na baadhi ya wanaume hata ukimsalimu anakuwa anacheka cheka......umesoma hapo juu mkienda nao kukojoa basi watakuchungulia na kucheka cheka lol!
 
Hapana kiongozi ! Natatizwa na baadhi ya wanaume hata ukimsalimu anakuwa anacheka cheka......umesoma hapo juu mkienda nao kukojoa basi watakuchungulia na kucheka cheka lol!

Kanisani kwako kuna waumini wa 'kiume'? :smile-big:....
Vipi anaechokoza na kukimbilia kichakani kujificha? Ofkoz kuna wale wanaojifanya wamelewa chakari na kuangusha gari...:smile-big::doh::doh:
 
Masa... unamsema nani? si uwe straight tu aisee

Salaam toka pakistani mkuu
 
Masa... unamsema nani? si uwe straight tu aisee

Salaam toka pakistani mkuu

Hahahahah mkuu niliishapita huko nilikaa hotelini mjini Kabul kwa siku nne! Sikuwahi ona mwanamke. Ikabidi niulize wenyeji wangu, nikaambiwa wanawake wanafungiwa ndani hawaruhusiwi kutoka nje hata shopping za sokoni ni wanaume.

Hapa si semi mtu ila ndhani kuna wanaume wenye haiba za kike. Mtu kanywa beer moja eti anaangusha gari anataka abebwe lol?
 
Wapwazi na mabinamu wa kweli! Niwieni radhi nimezama kwenye jukwaa la Siasa na Uchanguzi kwa maslahi ya taifa na kizazi kijacho. Nimeamua kurudi kwa muda nyumbani. Nisaidieni hivi kwanini baadhi ya wanaume wanapenda kucheka cheka bila hata sababu ya msingi? Una mpa issue ya maana kwanza yeye anacheka na kujichekesha hili ni tatizo ama kitu gani? Je ni turufu kwenye kujenga mahusiano na warembo wadada?

Msaada!

Mpwa nimesikia umetusaliti leo unataka upeane nae mkono yule jamaa alie chakachua.

Ukiona jamaa anacheka cheka yawekezekana jamaa wananusa nusa kizenji
 
Kuna jamaa wakati mpata kilauri, ukinyanyuka tuu kwenda msalani kwa haja ndogo, tayari na yeye yupo nyuma,
Si unajua sehemu ya Adamu mnakuwa mmejipanga kamstari flani
Sasa jamaa na yeye anajifanya kujisaidia huku anachekacheka na macho yote kayaelekeza kwenye fimbo yako
Hii hasara kabisa, haangalii hata anapomwaga maji yake

eeh bwana wakuu unajua kuna mtu alnambia bongo kina baba wengi si riziki aiseee...............!
tunaenda pabaya haki ya nani.............!
daaah................!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom