Mwanaume mwenzio anapokutumia msg akisema I LOVE YOU,..unamuelewaje?

Kawaida inategemea na wewe mwenyewe unavyoitafsiri hiyo message. KAZI NI KWAKO
 
Sioni tatizo liko wapi mkuu maana na inategemea huyo mtu anayekuambia hivyo mkoje nae yaani uhusiano wenu
Maana haiwezekani mtu from nowhere anakuambia I love you na ni mwanaume
Kama ni brother or your best friend ambaye ni zaidi ya nzdugu yako sioni tatizo lolote maana wote mnajuana
Ila sio from nowhere mwanaume unamwambia mwanaume mwenzako unampenda
 
ah ah ah, stori imeni remind tukio limetokea leo:
leo ofisini amekuja m customer anaongea na sales rep, wanapitia pitia specs za product, m customer akaomba aone picha ya product, sales rep akamwambia ngoja nikutolee brochure kabisa, m customer akamjibu kwa tabasamu bashasha, "You are not just a pretty face, are you?"
hii imekaaje ukizingatia wote ni wanaume.
 
ah ah ah, stori imeni remind tukio limetokea leo:
leo ofisini amekuja m customer anaongea na sales rep, wanapitia pitia specs za product, m customer akaomba aone picha ya product, sales rep akamwambia ngoja nikutolee brochure kabisa, m customer akamjibu kwa tabasamu bashasha, "You are not just a pretty face, are you?"
hii imekaaje ukizingatia wote ni wanaume.

Hii hapana haya mambo ya kusifiana sijui u r handsome na ni mwanaume mwenzako anakusifia haya mhhh anafika mbali huyo
 
ah ah ah, stori imeni remind tukio limetokea leo:
leo ofisini amekuja m customer anaongea na sales rep, wanapitia pitia specs za product, m customer akaomba aone picha ya product, sales rep akamwambia ngoja nikutolee brochure kabisa, m customer akamjibu kwa tabasamu bashasha, "You are not just a pretty face, are you?"
hii imekaaje ukizingatia wote ni wanaume.

Hahahahaaa, huyo kastama kama siyo shoga basi atakuwa Basha huyo, Dah!
 
ah ah ah, stori imeni remind tukio limetokea leo:
leo ofisini amekuja m customer anaongea na sales rep, wanapitia pitia specs za product, m customer akaomba aone picha ya product, sales rep akamwambia ngoja nikutolee brochure kabisa, m customer akamjibu kwa tabasamu bashasha, "You are not just a pretty face, are you?"
hii imekaaje ukizingatia wote ni wanaume.

Mhhh haya mambo ya kusifiana haya ni kwenda mbali zaidi ya hapo
Maana mwanaume mwenzako anaanza kukusifu u r handsome hapo ni zaidi
 
tuwaondoe kaka na ndugu wengine wa karibu...anaweza akawa ni rafiki wa kawaida tu...mmezoea kuchat kwenye simu..mara puuuu li sms,..i love you!!
Sioni tatizo liko wapi mkuu maana na inategemea huyo mtu anayekuambia hivyo mkoje nae yaani uhusiano wenu
Maana haiwezekani mtu from nowhere anakuambia I love you na ni mwanaume
Kama ni brother or your best friend ambaye ni zaidi ya nzdugu yako sioni tatizo lolote maana wote mnajuana
Ila sio from nowhere mwanaume unamwambia mwanaume mwenzako unampenda
 
hapa kuna walakini mkubwa tu haswa huyo m customer atakua anapenda "ndogo"...
ah ah ah, stori imeni remind tukio limetokea leo:
leo ofisini amekuja m customer anaongea na sales rep, wanapitia pitia specs za product, m customer akaomba aone picha ya product, sales rep akamwambia ngoja nikutolee brochure kabisa, m customer akamjibu kwa tabasamu bashasha, "You are not just a pretty face, are you?"
hii imekaaje ukizingatia wote ni wanaume.
 
khaaa...ila mwanaume hutakiwi uwe mzuri saaana!!!sasa wengine Mungu kawajalia kawaumba na sura kidogo zinafanana na dadake,..basi ndio kosa na yeye anatupia makosmetiks...noumer!!lazima ULAVIWE!!
 
tuwaondoe kaka na ndugu wengine wa karibu...anaweza akawa ni rafiki wa kawaida tu...mmezoea kuchat kwenye simu..mara puuuu li sms,..i love you!!

Rafiki wa kawaida anakutumia ujumbe wa I love you hapo ni lazima ujiulize mara mbili mbili ana maana gani
Akiwa my best friend kweli ambaye tunajuana long time au ndugu hapo sawa
Ndo maana nikasema sio mtu from nowhere ananijia na kitu kama hicho
 
khaaa...ila mwanaume hutakiwi uwe mzuri saaana!!!sasa wengine Mungu kawajalia kawaumba na sura kidogo zinafanana na dadake,..basi ndio kosa na yeye anatupia makosmetiks...noumer!!lazima ULAVIWE!![/QUOTE



Mkuu haikataliwi kuwa handsome ila with respect bana unakuw ahandsome na unatulia na uhandsome wako no make up wala cosmetics ni kawaida tuu
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom