Michese
JF-Expert Member
- Feb 9, 2008
- 369
- 58
Akupende mwanamme mwenzio for what reason?
kweli kabisa mkuu,inashangaza sana sio jambo la kawaida
Akupende mwanamme mwenzio for what reason?
Kilichonikimbiza facebook ni huu ujinga huu wa mwanaume anaanza kulike picha zako. Mara anakutumia msg au chat anakuambia u r handsome mara hot mara u look sexy wakati ni mwanaume. Ahhh nikaona huku siko kusifiwa na wanaume au kutamaniwa na wanaume ni soo bora njiondoe tuu mapema. Na pale ni picha tuu wala hawajui kama hizo pocha ni zako au za kuazima.Jamani hii mada inanigusa..ishantokea mara mbili..kwanza mtu tulikutana fesibuku..akaanza kulike pics zangu..tulivoonana face to face akaanza kunambia ur hot..nkasema thanx..mara badae ur sexy nkashangaa..mwisho wa siku nkamtolea uvivu nkamwambia thats girlish we vp?Are u gay? Ndo akafunguka eti hes versatile na ananipenda!Nikamblock hapohapo.
Mwingine chuoni seniour year nkamwomba tudiscuss siku moja, hadi leo daily lazma antumie text ati i love u,ur aweosme etc-namvutia kasi tu nimchane koz nshagundua wengi wanakuwa ni mashoga tu!
Kha!!! Mbona kawaida tu kwani yy hawezi kukupenda??? Ayo ni mawazo mgando!
Kilichonikimbiza facebook ni huu ujinga huu wa mwanaume anaanza kulike picha zako. Mara anakutumia msg au chat anakuambia u r handsome mara hot mara u look sexy wakati ni mwanaume. Ahhh nikaona huku siko kusifiwa na wanaume au kutamaniwa na wanaume ni soo bora njiondoe tuu mapema. Na pale ni picha tuu wala hawajui kama hizo pocha ni zako au za kuazima.
Ahh huu uzungu huu ni soo k
it can be wrong destination,may be the sms was intended to your wife mdau!
Akupende mwanamme mwenzio for what reason?
ah ah ah, stori imeni remind tukio limetokea leo:
leo ofisini amekuja m customer anaongea na sales rep, wanapitia pitia specs za product, m customer akaomba aone picha ya product, sales rep akamwambia ngoja nikutolee brochure kabisa, m customer akamjibu kwa tabasamu bashasha, "You are not just a pretty face, are you?"
hii imekaaje ukizingatia wote ni wanaume.
pole mkuu facebook hakuna maana kwa sasa
kabisa mkuu
hakuna maana kabisa na waache masharobaro waeendelee kuuza sura kule
huko siku hizi ni vituko mara mtu anaguna watu wanacomment ... ah mara mtu anakuadd dk 3 nyingi anaomba contact oooh we HB mara nini mara nipe offer ya beer aaaah
na maombi ya vocha nitumie credit na ukimpa no ya simu ndo umelogwa utapata beep za kufa mtu mpaka usiku wa manane
hahaha kule kumejaa mizinga tupu na wizi wa wazi wazi
Na wanafanya hayo bila hata kukuona sura yako wala kujua kwa uhalisi kama zile picha ni za kwako au ni za watu
Uzushi mwingi na nafikiri muda wote wanajua member wa pale yuko kusaka mwanamke