mkonowapaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 1,493
- 767
Mkuu kuanza kuambiana na kusifiana eti u r too handsome aahhh mambo gani hayo bana
Mkuu nafikiri ujumbe unajua huyo jamaa anataka kuelekea wapi
NA utafikiri ni kosa la mtu kuzaliwa handsome
kaka kwa mfano m2 unazipata sana izo za ur so handsome...u must hav a very beautful woman..nk nk...but unachuikulia poa kumbe theres another side of the coin..ngastuka!!hahahaaaa