Unampa pole..jibu Sina pesa mwenyewe sijala tangu asubuhi.Nawatishaje mkuu kwani uongo?ukimuuliza umeshakula akikujibu sijala utafanyaje ?
Lazima akuombe hela ya kula.
CC Zero IQ
Sasa unataka maskini apigwe kizinga atatoa nini ?Atoe damu yakeHivi ni kwanini wapenda kitonga na watu ambao hawana pesa(Masikini) huwa wanaona ni shida sana wakipigwa mzinga?
Akili za kimasikini ni mbaya sana. Masikini anachukia kila kitu. Sijui ni kwanini.
Ndiyo shida ya wanaume wengi..mwanamke Kama kakupenda Ni vyema akaelewa hali zako zote..siyo kila siku utakuwa nacho Kuna wakati mnaamka hamna kitu.Jibu gumu sana hili kwa mwanaume kusema huna pesa kwa mpenzi wako
CC Zero IQ
Nawatishaje mkuu kwani uongo?ukimuuliza umeshakula akikujibu sijala utafanyaje ?
Lazima akuombe hela ya kula.
CC Zero IQ
Jibu gumu sana hili kwa mwanaume kusema huna pesa kwa mpenzi wako
CC Zero IQ
Hivi ni kwanini wapenda kitonga na watu ambao hawana pesa(Masikini) huwa wanaona ni shida sana wakipigwa mzinga?
Akili za kimasikini ni mbaya sana. Masikini anachukia kila kitu. Sijui ni kwanini.
Kama wewe ni KE unastahili sana kuitwa wife material kwa sababu kama umendika hivyo kwenye mtandao ambao tunatumia IDs fake, hakika wewe ni bonge la mwanamke. Mbali na hapo unaonekana una constructive advice na pia unajua sana namna ya kumpa matumaini mwanaume pale anapokuwa katika hali ngumu kifedha. Nimekukubali.Ndiyo shida ya wanaume wengi..mwanamke Kama kakupenda Ni vyema akaelewa hali zako zote..siyo kila siku utakuwa nacho Kuna wakati mnaamka hamna kitu.
Ongezea;Kama unajiona huna kitu usiulize maswali haya.
1:Umeshakula
2:Niambie una shida gani?
Hayo ni maswali chokozi ukiuliza tu lazima upigwe mzinga.
Je kuna maswali mengine zaidi.
CC Zero IQ
Pambana mzee ili hata uwe na uchumi wa kati ili uwe unatoa Pesa bila kuombwa pesa na mwanamke.Sasa unataka maskini apigwe kizinga atatoa nini ?Atoe damu yake
CC Zero IQ