Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 28,921
- 82,885
Kama Mumeo amepata ajali kawa kibwengo ana mikono wala miguu ale kwa jasho Lake sababu ni mwanaume?
Inategemea alikuwa ananifanyia mambo gani wakati yuko mzima kama alikuwa mzinzi na mnyanyasaji akipata matatizo atapambana tu kwa kweli ila kama alikuwa muaminifu na mstaarabu basi siwezi kumtupa naomba usiniambie kwamba sijui sitakiwi kulipa ubaya kwa ubaya kabla haujaniambia hivyo jiulize kwanza kama wewe ungeweza kulipa ubaya wowote wa mkeo kwa wema wako