Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 27,521
- 34,824
...inasikitisha sana.Wana siasa wana haki ya kutdharau watz? Unajua why? Kama kizaz chenyewe ndio hiki
...inasikitisha sana.Wana siasa wana haki ya kutdharau watz? Unajua why? Kama kizaz chenyewe ndio hiki
Tatizo unakosea kujaribu kufikiria anayo fikiria mwenzako.Wana siasa wana haki ya kutdharau watz? Unajua why? Kama kizaz chenyewe ndio hiki
Mkuu channel kibao zipo zinaonyesha wapigania uhuru na ngoma za asili nenda kafatilie huko.Maongezi ya vijana wa Tanzania 90% ni pumba
Pale unapo piga show mbovu kwa demu yaani kigoli kimoja alafu chalii hua unajitetea vipi ili aelewe asikuone dume suruali hii imenitokea na sio kawaida yangu maana hua nakiwashaga sijui imekuaje usiku wa kuamkia leo alafu demu anakaa jirani mijengo inatizamana
Hata maombi yanafanyika watu wakiwa satisfiedPENDEKEZO..............jukwaa la mapenzi....lifungwe kwa muda.........tufanye MAOMBI
Mimi humwambia leo nimekula bajia ndio zimeleta shida hiyoPale unapo piga show mbovu kwa demu yaani kigoli kimoja alafu chalii hua unajitetea vipi ili aelewe asikuone dume suruali hii imenitokea na sio kawaida yangu maana hua nakiwashaga sijui imekuaje usiku wa kuamkia leo alafu demu anakaa jirani mijengo inatizamana