Mkeo kaamua kugawa unamng'ang'ania wa nn
,movie gani mkuu? ebu itaje jina namimi nikaangalieMi nikiwafumania naawacha Kama walivo naenda zangu home kuangalia movie,..
,movie gani mkuu? ebu itaje jina namimi nikaangalie
Ukikosa gari basi mwili utatumikaHahaha hatari sana hiyo, hasa kama huna gari
Unamwomba msamaha kwa kukuibia mkeo kabla hajakutumbua.Unakuta ndio boss wako.
Hee aisee bora uchafue gari yaishe
aseehUkikosa gari basi mwili utatumika
Hapo mtu anaweza akaanza kumpa na number za mchepuko boss. Ili ku compasate.Unamwomba msamaha kwa kukuibia mkeo kabla hajakutumbua.
I see kama ni hubby ndiyo ana do na bosslady ninamtema taratibu tu.Hapo mtu anaweza akaanza kumpa na number za mchepuko boss. Ili ku compasate.
Tuache fikra za kizamani, unaweza kuta hiyo nyumba ni yake au umejenga wote. Utamfukuzaje nyumbaniKweli mkuu mke akigawa ukimfuma dawa nikumuonyesha geti tu.
Tuache fikra za kizamani, unaweza kuta hiyo nyumba ni yake au umejenga wote. Utamfukuzaje nyumbani
Tuache fikra za kizamani, unaweza kuta hiyo nyumba ni yake au umejenga wote. Utamfukuzaje nyumbani