Machuchu
JF-Expert Member
- Mar 31, 2017
- 1,260
- 958
Tena picha zenyewe passport sizeMbona kama studio ya kupigia picha
Tena picha zenyewe passport sizeMbona kama studio ya kupigia picha
Hahaha...hiyo inaitwa promo..trolling!hahahahahaha
Yani mimi nasema waibe twiga wetu lakini wasije wakamuiba Lemutuz....Kwangu ni mmoja wa viumbe vinavyo nipa furaha sana hakika kila nikimuona huwa nafurahi sana....hakika Lemutuz ni nyara ya taifa
Hila hapo kwenye extensio cable zenye urefu usio elezeeka na vifaa vya kunywea chai na coffee hakika nimecheka sana.....Msaga sumu ni mtu mbaya sana...
Najua hao ni marafiki zako but.
ahha hahahUmesahau na vifaa vya kuandikia kwa jina lingine ni pencils na pen
Sio kama, tena ata ya kupigia picha ina afazali.Mbona kama studio ya kupigia picha
mkuu kuna nyimbo inaitwa simpi kiki kunguni wa mwendokasView attachment 574091
MSAGA SUMU ndo bloger wa udaku au
Sio bora ukadai chako mapemaaaaaa
Simpi Kiki kunguni wa mwendokasi
Lemutuz shati lake linafunika Vitz Mbili na kipande kinabaki.
Sent From My Nokia Ya Tochi
Hivyo vyombo(camera)mbona Kariakoo zipo ?hata ubora zimezidiwa na vifaa vinavyouzwa pale kwa marehemu Mh Deo Filikunjombe -Jumbo Camera.Watu kwa kupenda sifa hamjamboView attachment 572587
Wakati yakiwa yamebakia masaa machache kabla ya macho na maskio ya mamilioni ya watanzania kuhamishiwa downtown Bongo kwa tukio kubwa namba mbili mwaka huu ,huku namba moja likiwa lile la usomaji wa ripoti ya mchanga.
Mmiliki wa kituo hicho kikubwa cha televisheni amewaonesha mashabiki wake mashine kadhaa alizonunua Marekani na Ulaya zikiwa katika majaribio ya mwisho mwisho.
Baadhi ya mashine za kisasa zilizobahatika kutambulishwa na Lemutuz ni mashine maalum za kuongelea(mics), vifaa vya kukalia (maarufu kama viti), kamera za kisasa kabisa zenye uwezo mkubwa, extension cables zenye urefu usioelezeka, acs pamoja na mashine nyingine ndogondogo kama vifaa vya kunywea chai na super coffee.
Lemutuz amedai ubunifu na kila kitu kwenye studio yake kunaenda kubadilisha jinsi watu wamezoea kupokea habari na uenda ikawa ni revolution itakayodumu kwa miaka 100 ijayo.
Pia Lemutuz ametumia muda huo kuwaomba vijana waliomaliza vyuo vikuu kuanza kutuma maombi ya ajira katika kampuni hiyo kuwa ya utangazaji