soul provider
JF-Expert Member
- Jun 21, 2014
- 1,330
- 2,071
Naomba Mungu mama kraree asione hili bandiko
Bila pesa hamna Raha ya penzi sio kwa mwanamke Wala mwanaume.
Kwanza Kama hauna pesa ujasiri wa kusimamisha dushe unatoa wapi, hauna pesa kua single tuu kuepuka matatizo ya walimwengu kuliko kutusumbua na nyuzi za kulialia hapa.