never Se me
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 702
- 1,006
Huwa nashangaa sana kwa nini wanawake wanataka kuolewa na mwanaume wenye mali ikiwa wenyewe ni masikini .Kwanini sisi wanaume tunakubali kuishi na mwanamke asiye na kitu ikiwa wenyewe hawawezi?
Tafuta pesa ndugu, hakuna namna. Unatoa maneno hayo kwa sababu huna pesa, ukiwanazo hutowaza hayo
Nitafute....Aisee wanaume wa siku hizi baadhi hawajui majukumu yao!
Wanasahau kuwa mwanaume atakula kwa jasho na mwanamke atazaa kwa uchungu.Aisee wanaume wa siku hizi baadhi hawajui majukumu yao!
UnasikitishaWanaume tumeumbwa kuwatafutia na kuwatunza wanawake.
Hiyo ndiyo sababu.
Nilitaka kumjibu hivimwanaume ameumbwa kutafuta kwa jasho,na mwanamke kuzaa kwa uchungu! fanya majukumu yako ya kiasili acha kulalamika.
Nimesoma kichwa cha habari nikajikuta natafakari sana na kisha kutabasamu.uwanashangaa sana kwa nn wanawake wanataka kuolewa na MWANAUME wenye Mali ikiwa wenyewe ni masikini .kwa nn sisi MWANAUME tunakubali kuishi na mwanamke asiye na kitu ikiwa wenyewe awawezi
ngoja nikupe siri moja mate mwanamke akishakua mzuri anahitaji mume mwenye pesa sio kazi afanye...... sijui umeeelewa!!!!????
Usichanganye mafaili- kuna tofauti kubwa sana kati ya mwanaume na mvulana( unaweza tambua hilo kwa mawazo tu ya mtu).Aisee wanaume wa siku hizi baadhi hawajui majukumu yao!
Jumamosi njemaNilitaka kumjibu hivi
Asipoelewa hapa ndo basi tena.mwanaume ameumbwa kutafuta kwa jasho,na mwanamke kuzaa kwa uchungu! fanya majukumu yako ya kiasili acha kulalamika.
Sio hawajui....marioo ni janga now TZAisee wanaume wa siku hizi baadhi hawajui majukumu yao!