Daughterrr
JF-Expert Member
- Jun 27, 2019
- 459
- 531
inapendeza..Mimi hata kumuita love cwezi huwa tunaitana majina yetu tu na Sina feelings nae zozote na huwa ananipaga mbinu za kuendelea kuwin love ya mwanamke wangu
inapendeza..Mimi hata kumuita love cwezi huwa tunaitana majina yetu tu na Sina feelings nae zozote na huwa ananipaga mbinu za kuendelea kuwin love ya mwanamke wangu
Dar es laam mkuuInakuaje Mwanamme kamili anakua rafiki wa Mwanamke? hivi wanapatikanwa wapi wanaume wa aina hii?
Dar es laam mkuu
Binafsi nimeshindwa kweli, labda urafiki wa kwenye mtandao kwasababu sipendi mahusiano yanayoanzia kwenye social media otherwise weweeeeee mi sio mjinga bro (In Man Kush's voice). Rafiki zangu wa kike ni Dada zangu tu.Hakuna urafiki wa ke na me usiokuwa na madhara,kama hautakuwa na madhara kuna mmoja anaweza kuwa shoga
Wapo ke wana akili hizo, usishangae siku moja akamuita mshikaji akamuitie mshikaji.Akili zao wanazijua wenyewe,tafuna mkuu na ukitaka kufanya hivyo usimwambie,we mtoe 'out' mambo mengine mtamalizana huko;kumuacha hivyo anakuona na wewe uko nae sawa
(Nakunong'oneza mrejesho) mkuu huu uzi nafutaje maana rafiki nshatafuna unavokaa hapa unanitia kiwingu kajiunga majuzi majuzi JF isije akaona afu sijapanga kuacha kutafuna kitu iko poa sana
(Nakunong'oneza mrejesho) mkuu huu uzi nafutaje maana rafiki nshatafuna unavokaa hapa unanitia kiwingu kajiunga majuzi majuzi JF isije akaona afu sijapanga kuacha kutafuna kitu iko poa sana
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ulionywa lakini(Nakunong'oneza mrejesho) mkuu huu uzi nafutaje maana rafiki nshatafuna unavokaa hapa unanitia kiwingu kajiunga majuzi majuzi JF isije akaona afu sijapanga kuacha kutafuna kitu iko poa sana
Serious wazeeHahahahah
Poa ngoja nimcheki, hayo ya muwa achana nayo kwanza nifanye hima uzi utokeDuh! Mkuu ulikuwa unafanya muwa kuwa fimbo ya kutembelea ... Jinsi ya kufuta uzi hata sijui mkuu labda uulize kwa Maxence Melo
Hayo yashapita bob mi hata sielewi ilikuaje nmejikuta tu nshavunjaUlionywa lakini