Naomba nieleweke kidogo, hapa sizungumzii wale amabo tayari wameshaingia kwenye ndoa hasa ndoa za kikristu ambazo mke mmoja tu ndie anaetambulika kitu ambacho ni tofauti na wenzetu waislam ambao dini yao inawaruhusu kumiliki hata wanawake wanne endapo tu utakua na uwezo wa kufanya hivyo.
Hapa nazungumzia kwa wale wanaume wenzangu ambao bado hawajaingia kwenye ndoa wapo tu kwenye mahusiano na msichana mmoja pekee.Sisi wanaume yatupasa tutambue kwamba hawa viumbe wa kike wamejawa na tamaa za fedha na kumiliki mali hivyo anaweza akawa na wewe kwenye mahusiano lakini wana tabia ya kubadilika badilika kama kinyonga na endapo atatokea mtu mwenye uwezo zaidi yako lazima atakuacha kwenye mataa tu na hilo halina ubishi.
Sasa ili usiumie pindi akikuacha kwenye mataa lazima uwe na backup yake au kwa lugha nyepesi ni kwamba lazima uwe nao hata wawili ili mmoja akiondoka basi maumivu yanakua sio makali sana kama unapokua na mmoja pekee halafu akaondoka na kukuacha peke yako mana hawa viumbe ni hatari sana kuliko unavyofikiria na haoni hatari kukuumiza.
Inawezekana wanawake wakanielewa vibaya sana kutokana na huu uzi wangu ila huu ushauri ni maalum kwaajiri ya wanaume wenzangu sababu kumekua na kesi nyingi sana hapa jukwaani za wanaume wakilalamika kuachwa na wenzi wao sababu tu ya pesa na anasa za dunia.
Nadhani kwa hayo machache nitakua nimeeleweka, kuufanyia kazi ushauri wangu au kutoufanyia hilo linabaki kwako sasa ila utakapokuja kuachika usianze kulialia na kusema kwamba hatukukutahadhalisha mapema.
Asanteni.
Hapa nazungumzia kwa wale wanaume wenzangu ambao bado hawajaingia kwenye ndoa wapo tu kwenye mahusiano na msichana mmoja pekee.Sisi wanaume yatupasa tutambue kwamba hawa viumbe wa kike wamejawa na tamaa za fedha na kumiliki mali hivyo anaweza akawa na wewe kwenye mahusiano lakini wana tabia ya kubadilika badilika kama kinyonga na endapo atatokea mtu mwenye uwezo zaidi yako lazima atakuacha kwenye mataa tu na hilo halina ubishi.
Sasa ili usiumie pindi akikuacha kwenye mataa lazima uwe na backup yake au kwa lugha nyepesi ni kwamba lazima uwe nao hata wawili ili mmoja akiondoka basi maumivu yanakua sio makali sana kama unapokua na mmoja pekee halafu akaondoka na kukuacha peke yako mana hawa viumbe ni hatari sana kuliko unavyofikiria na haoni hatari kukuumiza.
Inawezekana wanawake wakanielewa vibaya sana kutokana na huu uzi wangu ila huu ushauri ni maalum kwaajiri ya wanaume wenzangu sababu kumekua na kesi nyingi sana hapa jukwaani za wanaume wakilalamika kuachwa na wenzi wao sababu tu ya pesa na anasa za dunia.
Nadhani kwa hayo machache nitakua nimeeleweka, kuufanyia kazi ushauri wangu au kutoufanyia hilo linabaki kwako sasa ila utakapokuja kuachika usianze kulialia na kusema kwamba hatukukutahadhalisha mapema.
Asanteni.