chuganian
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 1,067
- 1,109
Nina mashaka hii imekutokea ww..
Nina mashaka hii imekutokea ww..
Mr Mimi sijawahi kuweza kuyatenganisha maziwa yaliyochanganywa kwenye tui la nazi...
Unataka nile ban?Acha mbwembwe, niambie kwanza yule demu wa JF aliekutembelea siku ile anaitwa nani/anatumia ID gani hapa JF!
Sina mchepukoMchepuko wako
Mbina mm uliniambia huna jamaa?!Sina mchepuko
Poa tumdefend ila asiwe anavaa, za kike akiwa beachNyie wanaume gani sasa! Real men do defend their fellow men. Miss Charming, wala haina uharamu mwanaume kuvaa chupi za kike. Inawezekana jamaa alinunua chupi nyingi kwaajili ya mpenzi wake aliyekuwanae zamani. Kabla ya kumpatia wakaingia kwenye mgogoro. Yule binti akaondoka na hakukanyaga tena pale. Sasa unadhani zile chupi angempa nani? Ikabidi azivae tu, maana hamna namna sasa
Mmmh ni kweli hiyo kweli?? Au ndo kuteteana?? Mm bado haijaniingia akiliniNyie wanaume gani sasa! Real men do defend their fellow men. Miss Charming, wala haina uharamu mwanaume kuvaa chupi za kike. Inawezekana jamaa alinunua chupi nyingi kwaajili ya mpenzi wake aliyekuwanae zamani. Kabla ya kumpatia wakaingia kwenye mgogoro. Yule binti akaondoka na hakukanyaga tena pale. Sasa unadhani zile chupi angempa nani? Ikabidi azivae tu, maana hamna namna sasa
Kwani hana hata ndugu wa kuwapa??Kwa mfano, siku aliyoondoka huyo dada, jamaa alirudi na chupi sita nzuri sana alizokuwa amemnunulia huyo dada. Sasa kama hatorudi kabisa hizo chupi atavaa nani? Basi jamaa itabidi azivae
Ndio sinaMbina mm uliniambia huna jamaa?!
Jamaa ako analiwa.. niamini mimi
Kwann sasa?!Ndio sina
NatafutaKwann sasa?!
Unatafuta wapi?!..pm yangu mwezi wa pili huu hujajibuNatafuta
Wewe tulishashindwana unatafuta mchepuko wa piliUnatafuta wapi?!..pm yangu mwezi wa pili huu hujajibu
Hamna lolote....wa kwanza nani?!Wewe tulishashindwana unatafuta mchepuko wa pili