Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Kuna wanapenda sana kutematema mate ovyo hata mbele za kadamnasi.
Unakuta mtu anajikoholesha halafu anatengeneza mate mdomoni na kuyarusha 'paapu' kama nyoka aina ya cobra.
Kutema mate ovyo ni kwamba tumboni kuchafu au nini jamani? Waswahili husema ukiona mtu anatema mate ovyo ujue mkewe ana mimba..Ni kama wanakuwa wanasaidiana.
Taabu sana kwa mwanaume kutema mate ovyo. Ni aibu mno.
Unakuta mtu anajikoholesha halafu anatengeneza mate mdomoni na kuyarusha 'paapu' kama nyoka aina ya cobra.
Kutema mate ovyo ni kwamba tumboni kuchafu au nini jamani? Waswahili husema ukiona mtu anatema mate ovyo ujue mkewe ana mimba..Ni kama wanakuwa wanasaidiana.
Taabu sana kwa mwanaume kutema mate ovyo. Ni aibu mno.