Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,080
- 8,219
Nimesoma taarifa fulani wanasema kwamba baadhi ya wanaume huwa wanakuwa na hamu ya kuingiliwa kinyume na maumbile, ukiachilia mbali tamaa ya fedha. Yaani mwanaume anakuwa na nyege kabisa ya kupandwa hadi sometimes anajichomeka vitu vyenye mfano wa uume kwenye njia ya haja kubwa. Kwa wale wenye ufahamu hali hiyo husababishwa na nini??