Jumong S
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 7,312
- 10,492
Mwanaume uwe umeoa au upo bachela kurudi home mapema ni ushamba. Mwanaume unatakiwa kurudi walau saa 4 au 5! Issue za kuwahi kurudi home kuangalia tamthiria za Sultan sijui Siri za familia na mkeo ni utumwa.
Mwanaume kaa kiwanja na wana huku mnaangalia mpira au vipindi vigumu. Kaa viwanja huku mnaongea dili za kuingiza mapesa. Unaporudi home mpe mkeo 50 then wajibika kisha lala uitafute kesho.
Mara moja moja toka na kids au kaa nao uwaoneshe upendo wa ubaba kisha wacheki washkaji wako wapi mkachore ramani za Vita. Kama kuna mechi ya saa 7 usikae home hata kama Una DSTV hautaenjoy, njoo hapa kwenye kibanda-umiza cha Mgosi tushangilie then nenda home kawike kama jogoo la huko Didia au Mzilakulima.
Mwanaume kaa kiwanja na wana huku mnaangalia mpira au vipindi vigumu. Kaa viwanja huku mnaongea dili za kuingiza mapesa. Unaporudi home mpe mkeo 50 then wajibika kisha lala uitafute kesho.
Mara moja moja toka na kids au kaa nao uwaoneshe upendo wa ubaba kisha wacheki washkaji wako wapi mkachore ramani za Vita. Kama kuna mechi ya saa 7 usikae home hata kama Una DSTV hautaenjoy, njoo hapa kwenye kibanda-umiza cha Mgosi tushangilie then nenda home kawike kama jogoo la huko Didia au Mzilakulima.