Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature currently requires accessing the site using the built-in Safari browser.
Mimi ni mmoja wa watu wanaoishi kwenye ndoa. Nina jambo ninataka kushirikiana nanyi. Je ni vibaya au ni vizuri kwa mtu kuchukua kufuli/chupi ya mkewe au mke kuchukua ya mumewe na kuinusa kila anapomhisi mwenzi wake.
Mimi ni mmoja wa watu wanaoishi kwenye ndoa. Nina jambo ninataka kushirikiana nanyi. Je ni vibaya au ni vizuri kwa mtu kuchukua kufuli/chupi ya mkewe au mke kuchukua ya mumewe na kuinusa kila anapomhisi mwenzi wake.
Nakubaliana na wewe mkuu kwa kuwa na mimi ni muhanga wa hili tatizo.kwa kweli inaumiza sana hapa nilipo nafikiri nahitaji msaada wa kisaikolojia.nawaza mpaka nataka kuwa kichaa.cha muhimu ni kutofanya na kibaya zaidi nyie huyu anaeyerun naye nasikia ni muadhirika sasa sijui inakuwaje.mungu tusaidie tuJamani kunusa kwa kutafuta stimu au msisimko?au kunusa kujua kama katoka kunanihinoo?Kwa stimu ni safi kama iwa zinakuja kwa kunusa ya mwenzio hili naona kitaalamu halina makosa lakini utaathilika kisaikolojia hapo baadae.....
Kunusa kwa kucheck kama mwenzio katoka nje au lah duh hii kali sasa inajenga hatari sana katika mapenzi sasa ukinusa ukagundua kwenye chupi ya mwanaume kuna nanihino za mwanamke wewe mwanamke utafanya nini??Hii si hatari sasa katika mahusiano yenu...
Unajua siku zote katika mahusiano ya mapenzi/kinyumba kama mmoja wenu anatoka nje ni bora usijue iwe kama usiku wa giza hakuna kitu kinacho uma zaidi kama ukijua mwenzio anakusaliti na kutoka nje hii ni hatari sana na ina athali sana.....
kuna watu kila mkewe akirudi anamkagua kwa kumpiga finga sijui ana software gani mkononi ku detect kama mkewe ka mess around.....Kunusa kwa kucheck kama mwenzio katoka nje au lah duh hii kali sasa inajenga hatari sana katika mapenzi sasa ukinusa ukagundua kwenye chupi ya mwanaume kuna nanihino za mwanamke wewe mwanamke utafanya nini??Hii
kuna watu kila mkewe akirudi anamkagua kwa kumpiga finga sijui ana software gani mkononi ku detect kama mkewe ka mess around.....
kuna watu kila mkewe akirudi anamkagua kwa kumpiga finga sijui ana software gani mkononi ku detect kama mkewe ka mess around.....
...anamdhalilisha tu mkewe![]()
Yoyo ... hao wanawake mazoba kweli tena mandondocha wa hali ya juu ... kweli kweli mtu anakuambia haya njoo mama nanihii haya mgu pande ili .. subutu .. kisa nini mwanaume, tajiri au Mungu mtu ??? sijui kwanza atanianza vipi
Unajua ukimsujudia mwanaume sana na ukamuonyesha yeye ndo yeye kuliko hata mzazi wako, na hata Mungu .. bila yeye huna tena uhai au maisha .. ndo madhara yake ... hata kama kwetu fukara ..Wallahi vile hanichezei ...sana sana ataishia kudhani tu ila kunikagua .. abadan nasema
kuna watu kila mkewe akirudi anamkagua kwa kumpiga finga sijui ana software gani mkononi ku detect kama mkewe ka mess around.....