radicals
JF-Expert Member
- Nov 7, 2016
- 4,412
- 6,447
aah, sirudi tena mkuu, hapa nimekausha sijawaambia lolote, najua watanitafuta tu, wakiniuliza ntawaambia bado najipangaMkuu pambana tu ukamalize, japo mahali yenyewe imesimamaa daaahh
aah, sirudi tena mkuu, hapa nimekausha sijawaambia lolote, najua watanitafuta tu, wakiniuliza ntawaambia bado najipangaMkuu pambana tu ukamalize, japo mahali yenyewe imesimamaa daaahh
thamani ya mtoto haifananishwi na pesa, ndoa ni taasisi kongwe kuliko zote dunian, mbona wazee wetu hawakukomoana kiasi hiki, siku hizi wazazi wamejaa tamaa tu, wakiona umemfata binti yao wanahisi una shida sana na mke, wanaona hiyo ni fursa ya kutatulia matatizo yao, huwezi mpangia mtu mahari milion 6 na unamkomalia amalize mahari huku unataka pia muunganishe undugu, hivi roho na moyo wa kuwasaidia mbeleni wakikwama utakuwepo kweli!Ukiona mahari ni kubwa jaribu kuolewa wewe very simple.
Subiri upate mtoto wako ndio utajuwa wazazi wanagharamia vipi mtoto mpaka amekuwa akapendeza mpaka wewe kimborodinda ukamtamani. Shwaini kabisa.
Hongera sana mkuu kiukweli hata km ninayo sitoi usawa huu.mim nilipangiwa 6m, nmetoa 3m nkaahidi wanivumilie ntarud, mi niliwaambia kama utani nikijua mahari huwa haiiashi, juzi juzi nataka tuanze mipango ya ndoa na harusi wameniambia hawaniruhusu coz sijamalizia mahari, sasa hivi nmefikiriaaa,, natafakari, nataka niwaambie wanirudishie pesa yangu wabaki na binti yao
yani, wangejua kwenda tu kwao ni heshima tosha, nisingewaheshimu ningempa mimba binti yao mapemaaa, na wasingepata jeuri ya kuropoka mahari hiyo, 6m! nilimaindi sanaHongera sana mkuu kiukweli hata km ninayo sitoi usawa huu.
Ukiona mahari ni kubwa jaribu kuolewa wewe very simple.
Subiri upate mtoto wako ndio utajuwa wazazi wanagharamia vipi mtoto mpaka amekuwa akapendeza mpaka wewe kimborodinda ukamtamani. Shwaini kabisa.
yani, wangejua kwenda tu kwao ni heshima tosha, nisingewaheshimu ningempa mimba binti yao mapemaaa, na wasingepata jeuri ya kuropoka mahari hiyo, 6m! nilimaindi sana
Halafu mahari, milioni 7, aiseeSio sms tu hadi picha tena kaliwa hadi uvunguni
yani, nilipaniki sana siku ile, afu nadhani kitu kilichochangia waropoke vile ni watu walivyojazana siku ile, walialika watu wengi sana , ndugu, majirani nk, yani hata nilivyoingia kutambulishwa niliona njia ya kupita siioniWakwe zako pasua bongo.
Habari za mchana wakuu, kwanza poleni na majumu mlionayo na mnayoendelea nao hadi sasa,
Kumekuwa na minongono mingi mitaani kuhusiana na swala zima la utoa mahari, kwamba kijana unakwenda ukweni kwa lengo la kutoa mahari (kuposa) kwa nia nzuri lakini cha kushangaza mahari utayoambiwa ukweni ni pasua kichwa, wakati wanajua fika kazi yako, kipato chako.
Familia yako na hata maisha yako kwa ujumla ni ya kawaida lakini mahari atayosema baba mkwe ni kubwa sana kiasi kwamba hata kusema nipunguzie baba yangu inakuwa kitendawili na nakwambia umalize mara moja siyo ado ado, wana JF wenzangu mnisaidie kunaupendo kweli upo au ndo kuniona sifai kumuoa binti yao?
Pia, kumekuwa na tetesi ya ndoa nyingi kufungwa na upande wa pili zikivunjika hali inayowachanganya na kuacha midomo wazi vijana wengi ambao ni mabachela na wakikaa na kutafakari hawapati jibu la kwanini hali hii inatokea? Lakini wakiulizwa baadhi wanandoa watakuambia ingia uone.
Je sababu yaweza kuongozwa na kichwa cha habari kinavyosema.
Tupeane uzoefu tafadhali.
Mbona mkali sana. Mambo ya kawaida haya. Hivi ukitoa milion 7 then kesho ukamfumania si utaua kabisa. Na inawezekana aliechepuka nae katoa buku 20 tu. Heb tuweni fare basi. Mabinti hawauzwi.Nendeni mkaowe kwa Mengi au kwa Bakhressa mnatupigia kelele za kitoto tu hapa.
Hivi nyinyi mnajuwa hata kulipa school fees kweli?
mzee kama umeshaolewa Nenda kwa Jukwaa la walioolewa usituletee kero HapaNa ukienda kuowa uchagani engagement day unagharamia muowaji, minimum laki tano.
Mkiona hamuwezi majukumu nawashauri muolewe tu na siyo kututia fedhea wanaume.
Jamaa angu alitajiwa mil 7 sasa cku anapeleka mzigo asubuh kafumania meseji dem kagegwedwa usiku wake aloo tulikesha bar cku 3 mfulululizo yani hadi muuza nyama akawa anaitwa we nyama leta nyama.
Naona umemrithi JoseverestUmeambiwa mahari kiasi gani?!
Mbona huwi muwazi?..halaf mimi sijawahi kuckia hilo sharti la kumaliza mahari yote kwnz kabla ya ndoa
Duh msela wa akajilia cha mwishomwisho,na demu akamwambia jipakulie saizi yako,ila hiyo ni mbaya mwisho wa siku mpo ndani ya ndoa ipo siku tuu demu atakumbuka tuu poriSio sms tu hadi picha tena kaliwa hadi uvunguni
Napita.yan inauma kinoma, kuna vitu waliweka kwenye karatasi lao wakasema ni lazima, no bargaining, posa walinambia 200k, mkaja wa mama M 1, mbuz 10, ng'ombe 4 , fedha taslimu na makorokoro kibao, hivyo vyote tuliomba watuthaminishie katika fedha taslimu ikaja m 6 na chenji