Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 8,462
- 6,506
Ni vizuri ukaongea nae kwa kina ili kujua kinachoendelea.
sasa wa hivi anakua amedhamiria kabisa duumkuu hawa viumbe wana mbinu nyng sana unaweza kuta ana lain zaid ya moja na nyingne huzijui wanachofanya hubadili lain tu na hnyngne huzificha huko hata jikon katika masufuria yasio tumika akitaka kutumia huifuata na kutmia ukiwah kurudi anablok lain moja kimya ana acha simu mezani
na pia mwanamke achunguzwi anaweza kukuachia simu yake ukae nao hata mwaka usione tatizo.
mchezo mwingne wanatumia simu za mashoga zao wale walioivaana kwahyo kumkamata mwanamke labda awe kaamua na kakuchoka tu anataka sepa
Well said, na km angekuwa rafiki wa siku nyingi au mfanyakazi mwenzake angekuwa ashazoeleka home na Mr wake asingekuwa na hofu.Muulize mkeo
1. Huyu mtu ni nani kwako?
2. Kwanini alileta zawadi ya kwanza?
Karudia mara ya pili akiwa pekee! Kama ana mke angekuja naye ingekuwa poa zaidi.
3. Kwanini vitu ulivyonambia ninunue ndivyo jamaa kaja navyo?
Jibu atakalokupa, ukubaliane naye tu. Ila weka mitego yako. Hack simu yake, ukweli utaujua tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Asee kama hizi GX 100 zinaingiliana kinoma ... Kuna Sikh niliondoka na gari ya MTU kwenye harusi .... Noma sana .....huu ujinga mimi nimeachana na wife mwezi huu, kuna jamaa nimemkuta home ile nafika tuu akaniambia nimuazime ufunguo wa gari eti gari lake limejilock! nikampa then nikamuuliza wife hivi magari yanashare funguo? akasema kweli jamaa gari yake imejilock ipo hapo mbele kwenda hilo eneo hamna gari nikamwambia usiniletee ujinga LEAVE!
Nami kama mdau nitoe maoni yangu kiukwel hcho kitendo kinaumiza sana na kuleta maswal mengi inaezekana kuna kitu hapo japo hatuwez kusemea kitu kisichokuwa na BurkinaKwa ufupi, mke wangu ameefanikiwa kujifungua mtoto miezi miwili imepita sasa.
Kama ilivyo kawaida wamemtembelea marafiki zake wakiwepo majirani na kumpa zawadi mbalimbali kama pongezi kwa kuleta kichanga duniani.
Kuna jambo limenishangaza kidogo, ndio maana imebidi nije mnipe japo ushauri wadau.
Baada ya kujifungua kuna mwanaume alifika nyumbani na zawadi nyingi akampa mke wangu kama pongezi. Mwanzoni nilijiuliza inakuwaje mwanaume aje peke yake kumpongeza mke wangu kwa kujifungua? Nilijikausha nkachukulia kawaida.
Juzi kati hapa nilifika nyumbani mda ambao si kawaida yangu kurudi (mchana) na sikumjulisha mke wangu kama narudi. Nilishangaa kidogo kumkuta tena yule mwanaume kaleta tena zawadi. Alishtuka sana kuniona kila sikumsemesha, nilipita moja kwa moja chumbani nikatulia kidogo nikitafakari.
Baada ya muda mchache mke wangu aliingia chumbani na kuniambia mgeni ameaga, anaondoka, nikamwitikia ila ckurudi hata kumuona.
Hii hali iliniumiza sana na kunipa maswali mengi ukizingatia kuna vitu mke wangu aliomba ninunue kwa ajili ya mtoto, Yule jamaa akaja navyo.
Wadau nishaurini, hivi inawezekana mwanaume u/a/ mtembelee mke wako nyumbani (akiwa peke yake) zaidi ya Mara moja kumpongeza mke kwa kujifungua.
Kuja mda ambao Mimi sipo na bila taarifa, then kuaga ghafla baada ya Mimi kurudi kunamaanisha Nini?
Nsaidieni jamani
Baba mlezi mambo?Duh, pressure itaniua. Kwa nn wanawake mnatufanyia hivi?
Duh! Akimchinja mtoto itamsaidia nini?Chakufanya punguza presha, tafuta daktari umweleze unataka kupima DNA na mwanao kimya kimya, tafuta siku tengeneza mazingira kwa mtakavyopanga na daktari wako, fanya michakato kama ni kwenda na mtoto au sampuli yoyote ukapate majibu ndio utajua kipi cha kufanya.
Ukiambiwa mwana ni wako basi mpige jamaa marufuku na asitishe kabla hajasitishwa yeye mahusiano na mkeo.
Ukiambiwa mwana sii wako na pigo ulilopata huwezi tena kuishi basi chinja huyo mtoto shingo itengane na kiwiliwili ili iwaume waliokuumiza au huwezi mtundike sindano ya sumu utosini wewe uelekee maweni Tanga. (NB: ushauri wa shetani)
Ukiweza kuhimili endapo utaambiwa mtoto sii wako fukuza waende wakalee mtoto wao wewe ulikuwa spea tairi ukubali yaishe.
Sent using Jamii Forums mobile app
@Boeing kwa uelewa wa haraka haraka ni kwamba, mkeo kakutawala, au tangu zaman ulikuwa hutimizi mahtaji muhimu nyumban na mkeo akileta chochote Nyumban ulikuwa huulizi kimetoka wapi??!Kwa ufupi, mke wangu ameefanikiwa kujifungua mtoto miezi miwili imepita sasa.
Kama ilivyo kawaida wamemtembelea marafiki zake wakiwepo majirani na kumpa zawadi mbalimbali kama pongezi kwa kuleta kichanga duniani.
Kuna jambo limenishangaza kidogo, ndio maana imebidi nije mnipe japo ushauri wadau.
Baada ya kujifungua kuna mwanaume alifika nyumbani na zawadi nyingi akampa mke wangu kama pongezi. Mwanzoni nilijiuliza inakuwaje mwanaume aje peke yake kumpongeza mke wangu kwa kujifungua? Nilijikausha nkachukulia kawaida.
Juzi kati hapa nilifika nyumbani mda ambao si kawaida yangu kurudi (mchana) na sikumjulisha mke wangu kama narudi. Nilishangaa kidogo kumkuta tena yule mwanaume kaleta tena zawadi. Alishtuka sana kuniona kila sikumsemesha, nilipita moja kwa moja chumbani nikatulia kidogo nikitafakari.
Baada ya muda mchache mke wangu aliingia chumbani na kuniambia mgeni ameaga, anaondoka, nikamwitikia ila ckurudi hata kumuona.
Hii hali iliniumiza sana na kunipa maswali mengi ukizingatia kuna vitu mke wangu aliomba ninunue kwa ajili ya mtoto, Yule jamaa akaja navyo.
Wadau nishaurini, hivi inawezekana mwanaume u/a/ mtembelee mke wako nyumbani (akiwa peke yake) zaidi ya Mara moja kumpongeza mke kwa kujifungua.
Kuja mda ambao Mimi sipo na bila taarifa, then kuaga ghafla baada ya Mimi kurudi kunamaanisha Nini?
Nsaidieni jamani
Hello Witness, Hivi ni kweli huyo mleta mada hakuwa ameoa ?, kwa hiyo inawezekana labda mwanamke ni rafiki yake tu na huenda kila mmoja anishi kivyake halafu anakuja hapa anatuambia nilitaka kushangaa mambo anayotueleza kwa kweli yalikuwa hayaelewekiWoiiiii!
Huyu jamaa anatuzingua, nimeona moja ya nyuzi zake!
Kwanza hajaoa huyu jamaa, na huyo mwanamke anaishi sijui kwake!
Kwahiyo sio mke na mume!
Nami nilitaka nishangae mke wa ndoa afanye hivi??..nyumba yako, mahari umetoa?...demu hizo guts anazipata wapi???
Hisia zangu kumbe za kweli!
Sent using Jamii Forums mobile app