Mwanaume kufuga kucha na minywele ni ukosefu wa kazi

Bila shaka utakuwa umeanzisha mradi wa kumiliki maduka ya kutoa huduma kunyoa nywele na kukukata kucha, hivyo umeona uanze na kubadili mtazamo wa wapenda kufuga nywele na kucha, ili wawe wateja katika maduka hao. Huo ni mpango mkakati wa kuongeza mapato kibiashara. Usisahau, na ndevu,kuzipigia kalamu!
 
Bila shaka utakuwa umeanzisha mradi wa kumiliki maduka ya kutoa huduma kunyoa nywele na kukukata kucha, hivyo umeona uanze na kubadili mtazamo wa wapenda kufuga nywele na kucha, ili wawe wateja katika maduka hao. Huo ni mpango mkakati wa kuongeza mapato kibiashara. Usisahau, na ndevu,kuzipigia kalamu!
Hahahahhaha,mara moja moja sio mbaya mkuu
 
Sijui na mimi nina kucha au nizikate???
1539441107972.jpeg
 
Back
Top Bottom